News outlets zote zilikuwa busy ku report habari za vikao vya chaema. Kila news outlet iliandika ilichokuwa inakifikiria. mara wamepigana, mara Lisu kawekwa kitimoto, mara hili na lile etc etc.
Machawa CCM walipagawa kote kwenye upenyo wa kuandika lolote kuhusu vikao hivyo! JF ndiyo usiseme...
Umeyasikia kwa nani? Kutoka kwa mamlaka gani za chadema? mambo ya kubumba ya chawa wa Samia ambayo yamesemwa tangu vikao vya kamati kuu ya chadema vianze ndiyo unayaleta hapa kama from official news channels za chadema?
I guess and I might be very correct by 1,000,000% correct, wewe ni chawa...
THIS IS ALL RUBBISH! HUU NI MWAKA WA 30 WATU WANAONGEA HAYA HAYA. IT IS WASTE OF MONEY AND TIME. TAFUTA NJIA NYINGINE YA KUPATA HICHO KINACHODAIWA FOR OVER 30 YRS KUTOKA KWA CCM!
HUO NDIO UWE MJADALA, KWAMBA MAZUNGUMZO, MAKONGAMANO, MARIDHIANO, MIJADALA, TUME AND THE LIKE VIMESHINDWA KULETA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.