Search results

  1. KENZY

    FT: CRDB Bank Federation Cup 23/24 FINAL: Azam FC 0-0 Yanga SC | Dak. 120| Pnt (5-6): New Amaan Complex 2/6/2024. Yanga abeba ubingwa

    sawa karibu mwenyeji... niambie leo tumfanye nini huyu domomundu...??
  2. KENZY

    FT: CRDB Bank Federation Cup 23/24 FINAL: Azam FC 0-0 Yanga SC | Dak. 120| Pnt (5-6): New Amaan Complex 2/6/2024. Yanga abeba ubingwa

    kumbe nawe umekuwa shabiki haya karibu tukawalaze walamba ice cream...
  3. KENZY

    Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

    sasa ulitaka kigogo asile raha yadunia..??😂 ila ile nyamnyam imetengenezwa maana picha zake za awali nasasa vitu mbili tofauti!.. huku mtaani vipo vitu natural nyamnyam sijui kwanini watu wanahangaika nakuku wakisasa!
  4. KENZY

    Sipendi Morning Glory

    mapenzi saa 1900 na 2000 kama wakala wa sensa bhana!. kweli bado haujakuwa
  5. KENZY

    Diara ashinda tuzo ya mchezaji Bora wa Mali kwa Africa

    hongera kwake
  6. KENZY

    Kuelekea 2025 RC Chalamila ataka Tume Huru ya Uchaguzi iwe chini ya Rais

    mh! kwani hawawezi kuadabishwa na mwanasheria mkuu ama chombo cha sheria chochote..?
  7. KENZY

    Taratibu zipi nifuate kama nimeuziwa bidhaa iliyoisha muda wake (expire)?

    leo unakomenti ki hekima hekima au kananiliu kamenaniliu...😂
  8. KENZY

    Makonda: Vijana achaneni na siasa, hailipi. Pesa ndiyo inalipa

    Nahisi itakuwa ngumu sana kumuelewa!
  9. KENZY

    Najiuliza ni kitu gani hiki vodacom wanafanya?

    ngoja tukuonyeshe ufundi kumbe unakiburi...😂
  10. KENZY

    Najiuliza ni kitu gani hiki vodacom wanafanya?

    sasa ndugu mteja ndo uje utusakame huku kisa hiyo 1500 yako..??!! we mteja umekosa hata koromeo!,friji lako haligandishi linachemsha tu! ingekuwa million si ungeturoga wewe..??!!
  11. KENZY

    Hili suala la vocha kupanda bei limekaaje kitaalamu?

    wasipotafuta fedha wakati huu wa uchumi huru,uchumi ambao unapenda wachumia kimvulini!, uchumi unaochumu!.. wakatafutie wapi...??
  12. KENZY

    Get well soon Analyse

    mh!
  13. KENZY

    I am looking for a broken angel to give each other company

    🤣🤣 vishetani vinatafuta vishetani vyenzao
  14. KENZY

    Ndoto ilikuwa ni kuwa Professor ila kwasasa ni mkata mkaa

    sielewi kitu!
Back
Top Bottom