Habar ya jion wakuu??
Baada ya kupigapigana na kufilisika huko niliko kuwa kwenye biashara zangu za mbao niliamua kurudi home na kwa maana kwa muda sana nilikuwa nashamba nilinunua kipindi nipo chuo..
Sasa kama ujuavyo ukuilima nao unahitaji mtaji nk.. SASA BASI MIE NISHAMBA HUKOO SONGWE yaan...
Habar ya asubuhi wakuu??
Hapa nililala na ndio nimeamka but kuna kitu kichwan kinatesa since Jana
Jana jion nikiwa mizunguko yangu nikakutana na watu katika machimbo yao kadhaa wanajivinjar pombe aina ya ULANZI hiyo ni pombe maarufu sana iringa
Nipo Mbeya kwa sasa hawa jamaa wananunua Lita...
Habar za sikuku wakuuu??
kama kichwa habar kinavyo sema hapo juu engine imetumika miezi 6 tuu na ni 24horse power na msumeno umetumika kwa mwaka mmoja gharama ya mauzo ni 2.5ml
Kwa wale ambao mnafanya biashara za mbao nadhan mtakuwa mnaijua na kwawale ambao mpo interested na hii biashara nanyi...
Wazee kwa hii ya awamu ya tano na kuisoma namba huku, nazan mpo pamoja nami kuwa hii ndio bia bora na inakuja kwa kasi ya ajabu sanaaa
Kadri magu anavyo zidi kukaza ndivyo FASTJET inapozidi kuwa tamu
Ukiachana na bapa la dk nyepesi LUSEKELO kinywaji muraa kisicho na tripi nyingi za toilet...
Wazee wa vimiminikaaa,weekend ndio ishaanza kunogaa,
Leo lazima kunawakaaaaa
Wazee wa bapa kwa mnyamaa
Vyesto lager nk
Balimi a.k.a Fastjet--bei ndogo majibu fastaaa
Siku ya kuweka shidaa chini na kurushaa mikono juuu
Binafsi nakiwashaa AVANA
DRINK.BEER TO SAVE WATER
Everybody has to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.