Mie ni mtumiaji wa huduma ya DSTV na sijawahi kukutana na hilo tatizo hata mala moja ndio kwanza nasikia kwako mkuu, tatizo ambalo wanalo DSTV ni kipindi cha mvua huwa inasumbua wakilekebisha hilo DSTV is the best among the Best hana mpinzani TZ.
Hiki chama kinachojiita Chadema hakina jipya,kimeshafilisika kisiasa, maana tangu kianzishwe sijawahi kuona zuri kilichofanya kwa Watanzania zaidi ya chuki, ubinafsi, na uchochezi, na nina wasiwasi hata hizi vurugu za Mtwara kuna mkono wa Chadema..... Sie yetu macho bana tutaona nini mwisho wa...
Sasa kuandamana au kujiuzuru kwa waziri kutasaidia nini?
Mie nataka kuanzisha maandamano kushinikiza wazazi wawe wanafuatiloa maendeleo ya watoto wao na sio kushinda baa
Asante kwa kunijibu, ila kumbuka mfumo duni wa elimu haukuanza jana wkt Waziri Shukuru anaanza kuongoza hii wizara, na kuzorota kwa Elimu kulianza kipindi ambacho shule za kata zilianzishwa bila ya waalimu, na kufeli kwa watoto kunaanzia nyumbani kwenu wazazi, wewe km mzazi ulimuandaaje mwanao...
Sasa analazimisha wananchi watake anachotaka yeye au? Kwani watoto ndio waliofeli au waziri na naibu wake? Mbona mimi hapo sielewi hebu nifumbueni macho jamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.