Unaweza usielewe kichwa cha habari lakini pindi utakaposoma mpaka mwisho utaelewa hivyo nakusihi usome mpaka mwisho.
Katika chombo chochote kinachoitwa cha moto injini ni Moyo wa chombo hicho, Hakika hakutakuwa na Gari, Pikipiki ama Jenereta kama hakuna Injini katika chombo husika. Binafi kama...
Kuna mengi sana yanapita katika kichwa cha dereva anaeendesha gari alafu ikazima ghafla bila ya yeye kuizima na mbaya zaidi itokee hivyo ikiwa geji ya mafuta inaonesha mafuta yapo ya kutosha kwenye gari yako. Hakika kama si mjuzi wa gari unaweza kulia pale unapojaribu kuiwasha na ikagoma kuwaka...
1. Spea ni genuine zimetolewa kwenye gari kama yako iliyotumika Dubai
2. Gari zikizotumika Dubai ambayo tunauza vifaa vyake nyingi watumiaji wake walinunua zero km na ndiyo maana vifaa vyake vinakuja na condition nzuri yani vifaa vya used Dubai vina hali nzuri kuliko vifaa vya gari yako.
3...
MASEGA MASEGA
Je gari yako haina nguvu?
Je gari yako ina unywaji wa mafuta kwa kiasi kikubwa?
Je gari yako ina muungurumo usio wa kawaida?
Je gari yako taa ya check engine inawaka mda wote hata ukiizima haizimi?
Je gari yako ina mshono usio wa kawaida kwenye exhaust?
Endapo una dalili zote hizo...
Wewe ni Mkazi wa Dar es Salaam na unahitaji spea kwaajili ya gari yako?
Huitaji kuhangaika mambo yawe mengi tucheki moja kwa moja dukani.
MZIGO NI USED DUBAI
Tunauza Spea za gari ndogo aina zote Kama vile Taa, Mabampa, Milango, Show, Mountings, Radiator, shockups Nk. Tunapatikana ilala Mtaa...
Boss kwa uwelewa wangu hiyo taa ni warning light kwamba gari imeover speed hivo unatakiwa uwe makini sasa kweny gear kustuka pia nataka kupata uhakika je mwanzoni ilikua inafanya hivyo?
Sote tunajua engine ndio kitu cha msingi zaidi kwenye gari kwani kupitia injini ndo tunapata mjongeo wa gari na sehem nyingine kufanya kazi. Watu wengi humiliki magari bila kujua namna bora ya kuitunza injini, kumbuka gharama za kurekebisha ama kufufua engine ya gari yako ni kubwa sana au...
Taa ya mbele suzuki swift
Taa ya nyuma toyota blade
Taa ya nyuma toyota spacio
MZIGO USED DUBAI
Tunauza Spea za gari ndogo aina zote Kama vile Taa, Mabampa, Milango, Show, Mountings, Radiator, shockups Nk. Tunapatikana ilala machinga complex tunaangaliana na msikiti wa songea
WA MJINI MALIPO...
Boss masega kazi yame kwenye gari ni kusaidia ku control uchafuzi wa mazingira kutokana na hewa chafu inayotoka kwenye gari baada ya milipuko
Na hayo ni mapya mkuu original kabisa tunaongelea laki nane so kiufupi sio expensive
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.