Malaya wa Siasa au Malaya wa Ngono?
Kama ni Siasa, hiyo ni kawaida kabisa kwa wanasiasa wa Afrika hasa Tanzania ndio washika bendera ya umalaya wa kisiasa. Inafahamika.
Na hata umalaya wa kingono, kwani sio kweli kwamba ndio hitaji moja wapo la wanasiasa (wanachama na viongozi wao)? Au ni...
Ahsante kwa ku balance mada.
Maana Chalamila alikua anadhalilishwa personally Kisa kushikiwa mwamvuli!
Watanzania wamebarikiwa midomo ya kejeli, kashfa na udhalilishaji! Sad.
Kwamba ramani ya mkoloni ndio uhalisia sahihi?
Turudi mwanzo, inawezekana kisiwa kumiliki maeneo ndani ya pande la nchi/eneo ama ni rahisi kwa pande la nchi/eneo kumiliki kisiwa?
Na tukifuata mwanzo kabisa, hicho kisiwa kilimeguka kutoka wapi? Ikitokea kimerejea kilipomeguka mwanzo, itakuwaje?
Ni wazi Haya maoni ya wengi humu JF ni stereoisomers in nature.
Unless Kama yanawahusu Islams wa class fulani pekee, vinginevyo maisha ya family nyingi za Islams ni tofauti mno na maoni ya wengi humu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.