Search results

  1. Nafikiri Zaidi

    Mchepuko Nimeunulia gari aina ya VX8 baada ya kulichoka kasema hakuna nilichomfanyia

    Nimekua offline JF bado watu wanatuletea chai dah ...nimelia sana
  2. Nafikiri Zaidi

    Tuliambiwa mchina anaenda kumpiku Marcedes Benz

    [emoji23][emoji23][emoji23]......wee si mzalishaji mpaka umeleta umbea maana hii sio taarifa umeleta umbea ?..kwami thread za udaku huzijui afu ukute nabishana na mtu gari huna ni wale wajuaji sana wa magari ila account inasoma kama findings za Titration kwenye Volumetric Analysis...
  3. Nafikiri Zaidi

    Tuliambiwa mchina anaenda kumpiku Marcedes Benz

    Ukiangalia kila comment anaponda tu hapo ndio naona ana shida kidogo
  4. Nafikiri Zaidi

    Tuliambiwa mchina anaenda kumpiku Marcedes Benz

    Sema mkuu yani we mwenyewe umeleta mada inaonekana bado kabisa unaponda ...hujaleta input kua nini kilitokea mpaka gari ikawa ivyo...yani ume base kwenye lawana tuu
  5. Nafikiri Zaidi

    Kwanini nafurahishwa sana na nazikubali mno Nyodo na Dharau za Dotto Magari ambazo ni Chungu Kwetu Wasomi, Wabaguzi na wenye Dharau kwa Masikini?

    Usomi upi unasemea ?..maana mtu ana Masters ya Surgery hana kazi ...kazi zake part time za kuunga unga ila dharau mpaka kwenye ukucha..... ninachojua Kumuheshimu mtu haina haja ya kwenda darasani ili mtu akuheshimu/umuheshimu that's all
  6. Nafikiri Zaidi

    "Baby umependeza" Je umechangia sh ngapi au umenunua kipi? Wanaume mnaboa

    Kwa embu ngoja kwanza ...tusifie au tunyamaze tuu??
  7. Nafikiri Zaidi

    Happy birthday Innocent Bashungwa, kwanini baadhi ya viongozi hutenguliwa ghafla!

    Honestly Bwana Inno sina wasiwasi nae ...sio akina Makamba ,Mwana FA sijui nani Mwingine yule yani impact yao siioni kabisa kwenye jamii
  8. Nafikiri Zaidi

    Unavyotafuta gari ya kununua, RANGI uwa unaipa kipaumbele au kanyaga twende?

    Ila anyway Rangi ina priority yake tuu ... imagine mwanaume mwenzangu ana Harrier ya pink?? ...hii sio utani ...hata kama sina gari ila hiyo rangi hapana kwakwel [emoji23][emoji23][emoji23]
  9. Nafikiri Zaidi

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Ndio Ndio.....Napiga sana Ndoa kwa Nguvu zote
  10. Nafikiri Zaidi

    Haya majina ya vitu kwa kiingereza wengi hawafahamu

    Sio Tooth-hole?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  11. Nafikiri Zaidi

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Niko Siti Nyuma ya Dereva na niko Singo... Biryani leo ijumaa nimepika mwenyewe nakula mwenyewe apa ndani magetoni
  12. Nafikiri Zaidi

    Naanza kupata hofu na stress sana, nina miaka 32 na familia haitaki nioe mwanamke mwenye mtoto

    Sema inaonekana kabisa ata ukiingia kwenye hiyo ndoa bado utakua na wenge sana mkuu
  13. Nafikiri Zaidi

    Kundi la Wadudu Arusha ni kielelezo cha ushamba

    Wala sikupingi mkuu ... yani kwa bahati mbaya sana kitendo cha makonda ku entertain ndio nimezid kuona kua anacheza na akili za watu...hata kama ni creativity sio kwa upuuzi ule
  14. Nafikiri Zaidi

    Sina furaha kwenye ndoa yangu, nahisi nilikurupuka

    Uzi ndio nauona leo....inamaana mpaka unaona that means uliona vigezo vyote ....sasa imekuaje hata kama ni kukurupuka ?? Kuna vitu bhana acha tu viendelee kua fundisho sasa unakuja huku mambo ni kama yameharibika tu hayo sasa
  15. Nafikiri Zaidi

    Kwa Tanzania, wachekeshaji wengi wameenda shule kuliko waimbaji na waigizaji

    Hilo lisikushangaze sana mkuu....imagine mtu ni wa Yanga ila ka follow page ya simba ....lengo ni nini haswa?? Utakuta kuna update anataka azipate tu yupo kwa ajili ya benefits flan sio kua yupo pale intentionally.
  16. Nafikiri Zaidi

    Mke wangu analalamika simridhishi, nataka nisimuoe

    Yani mkuu unatoa code mwenyewe tuendelee kukuona mtoto wa 2000 afu una mind asa huyo sijui dem sijui mke wako kashafika 400,000KM milage hiyo engine ndio basi tena ....mtu anakwambia uunganishe mabao afu unaropoka eti huwezi ...ungekua karibu ningekulamba kofi mkuu ni restore setting za hiyo bichwa
  17. Nafikiri Zaidi

    Kuna video inasambaa mitandaoni, kiingereza kwa Watanzania wengi ni shida sana!!

    Sasa mkuu apa hii thread yako ni kama umetaka kuja kuongeza Trophy points tuu bora ....yani Thread unasema inasambaa alafu unekuja huku unashindwa ku attach video sasa nani atakuamini kwa sisi ambao hatujaona?
  18. Nafikiri Zaidi

    Mke wangu analalamika simridhishi, nataka nisimuoe

    Afu nikajua ni simu yangu tuu ...yan picha mara zifunguke mara zisifunguke
  19. Nafikiri Zaidi

    Mke wangu analalamika simridhishi, nataka nisimuoe

    Hivi huo muda wa kuulizana mnaupataga wenzetu.....wengine tukimaliza yani ni kulala. If you don't geriiiiit.... forget abourriiiit [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom