Search results

  1. TheGodfather95

    Wauza smartphone tukutane hapa

    iPhone 11 Plain 64GB FACE ID [emoji736] Clean 600,000 Tsh Tel: 0714036595 [emoji625]GEITA
  2. TheGodfather95

    Nimeangalia Match ya EPL Bure bila DSTV kwa kutumia kifaa hiki..

    Tumia hiki 140,000 Tsh YouTube, Netflix, Apple TV, Hulu na hizo channel za mpira 0714036595 Free Delivery.
  3. TheGodfather95

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Doku mjinga sana huyu Bernardo Silva ni kama hakula week.
  4. TheGodfather95

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii match hawa Mbwa wamekula pesa yangu ya mwisho ghai hawataki kufunga watu wamechoka, mbwaaaaaaaa
  5. TheGodfather95

    Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

    Unafiki kupitiliza hata huyu mleta mada hamjui huyu binti shule za nini?? [emoji23][emoji23][emoji23] kaleta mada achimbe mawili matatu akasimulie huko kwao.
  6. TheGodfather95

    Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

    Sema bhana Watu wako Bias sana ni vile huyu dada kajulikana kwa Watu Wengi hapa majuzi, ila yupo kitambo tu. Mbali na sex education anayotoa na inasaidia Watu Wengi tu hasa wanawake pia anatoa elimu ya afya ya uzazi. Msikae kwenye point moja kwamba anafundisha umalaya hapana acheni ukuda...
  7. TheGodfather95

    Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

    Piga za kichwa tu usipige sehemu ingine [emoji23][emoji23][emoji23].
  8. TheGodfather95

    Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

    Hilo sio group la ukungwi ni la kuuza Malaya,style za kununua uchi zimebadilika.
  9. TheGodfather95

    Lilian Lema amesomeshwa shule za gharama ila anaumiza sana wazazi

    Umejaa vitu vya uongo uongo kama malaya kwendaaaa Simba simba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  10. TheGodfather95

    Kioo Cha google pixel 3a ni shingapi?

    Hizi ndio bei za vioo Google Pixel GOOGLE PIXEL VIOO PIXEL 3 155,000 PIXEL 3A 170,000 PIXEL 4 4G 370,000 PIXEL 4A 5G 330,000 PIXEL 4XL 300,000 PIXEL 6A 400,000 PIXEL 6PRO Hizo ni bei za vioo gharama ya ufundi ni 10,000 Tsh 0714036595 karibu mkuu[emoji1666]
  11. TheGodfather95

    Kioo Cha google pixel 3a ni shingapi?

    170,000 Tsh hakuna Pixel kioo 120,000
  12. TheGodfather95

    Nafikiri hii ndiyo sababu ya matajiri kuitwa katili wasiyo na utu

    Wanaume siku hizi wanalalamika sana kitu kidogo mtu kawaza kujiua ujinga sana, mimi kwa umri wangu ningeshajiua mara kibao kuna mda maisha Unaona kabisa umetoboa then boom uko chini, unapiga vumbi unatembea ila hawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  13. TheGodfather95

    Naomba ushauri wa kamera nzuri itakayonifaa

    Chukua 13Pro Max hao wanakuambia Pixel Wengi wanatumia Pixel 3A.
  14. TheGodfather95

    Naomba ushauri wa kamera nzuri itakayonifaa

    Kwanini utumie WhatsApp GB? Wewe deal na WhatsApp business na WhatsApp ya kawaida. App Store ina application zote za kutumia na ni free kitu utakacholipa ni Apple Music na sio lazima.
  15. TheGodfather95

    Ulishawahi kujilaumu kwa kufanya starehe ya muda mfupi yenye madhara makubwa kwako?

    Mtu analalamika bei sinza, akienda 1245 atakuja piga yowe humu.
  16. TheGodfather95

    Naomba ushauri wa kamera nzuri itakayonifaa

    Chukua iPhone 13Pro Max kama uko vizuri ina cinematic mode na picha nzuri, hyo Google pixel 7Pro au 8A uongo mkuu.
  17. TheGodfather95

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  18. TheGodfather95

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Nakuja PM mwanangu
Back
Top Bottom