Search results

  1. jje's

    Mwandani wangu hajivunii kua na mimi, ni kama anaona sio type yake

    hahahhahahaha uwiii jaman ukiingia JF bila kucheka huna bandama
  2. jje's

    Usisubiri kila mtu aamini uwezo na ndoto zako

    majukumu haya looh ila yanapungua kwa kasi
  3. jje's

    Usisubiri kila mtu aamini uwezo na ndoto zako

    salama my dear, majukumu naona hauonekani mara kwa mara
  4. jje's

    Usisubiri kila mtu aamini uwezo na ndoto zako

    Asante sana kwa maneno mazuri ya kumalizia weekend. Mungu atusaidie tufikie ndoto zetu
  5. jje's

    Mirathi ya Celebrities Bongo kizungumkuti

    nimekuelewa mindset yako iko very shallow, nasema hivyo kwa sababu gani tulia nikueleze. Ukiwa na akili ya kufikiria kuwa mimi nitarithi vya wazazi wangu hutajiendeleza kwa lolote. Najua wazi kuwa endapo mzazi hatakuwa duniani watoto watarithi but pls remove that evil mindset na pambana kama...
  6. jje's

    Mirathi ya Celebrities Bongo kizungumkuti

    na kwa nini ukiwaza mzazi akifa? huo muda wa kuwaza hivyo utumie kutafuta vyako. Mali za wazazi wana haki ya kumpa yeyote maana ni zao na wengi wao hawajarithi kama mnavyofikiria kurithi. vijana amkeni amkeni
  7. jje's

    Askofu TD Jakes ajiuzulu baada ya kashfa ya kutembea na muumini wake....

    Mbona matusi makubwa hivi? kama huwapendi si unyamaze tu? if you are called to prove that will you?
  8. jje's

    To you Ephen

    hata mimi nimeliona hilo, amejisahau
  9. jje's

    Kijana usioe/kuolewa na mtu anaenyonya sehemu za siri

    samehe tu mimi, nitajieleza love
  10. jje's

    Kijana usioe/kuolewa na mtu anaenyonya sehemu za siri

    dada Vale nimekumisi mimi jaman
  11. jje's

    Je kuna athari yoyote kutumia haya mafuta wakati wa kusugua Papuchi?

    nimecheka sana jaman, hivi unaweza kupata stress ukiwa na bando kweli? hapana bhana ,,,wenye stress wanajitakia tu au hawana hela ya bando
  12. jje's

    Usipokuwa makini huku ughaibuni, unaweza kula Trans na usijue

    hahhaha et inanyumbuka na kuvimba daaah, mambo ni mengi muda mchache wa kufanya uchunguzi
  13. jje's

    Nimekuta taulo ya hedhi ya mke wangu iliyotumika imehifadhiwa kabatini, ina maana gani

    unaulizaje maswali ya kinyaa wakati wa lunch? ungesubiri jioni mkuu hahahhaha btw huyo mchafu tu hakuna uchawi hapo
  14. jje's

    Ukweli ni kwamba sina hisia naye na wala sio aina ya mwanamke nimpendae kimuonekano lakini...

    hauwezi ingia JF ukabaki na stress ulizokuwa nazo,,,hakika hapa ni mwisho wa yote,,,nimeifikiria propela siachi kucheka
Back
Top Bottom