Kujua km kuna dhana ya ndoa kwanza kusiwe na ndoa.Lakini pili, lazima kuwe na ushaidi utaothibitisha kwamba wawili hao, yaani mwanaume na mwanamke wameisha pamoja kama mume na mke kwa kipindi kisichopungua miaka miwili na watu wanaowazunguka wakawatambua wawili hao kama ni mume na mke.
Kisheria taasisi inawajibika kwa kosa lililiofanywa na mfanyakazi wake akiwa katika utekelezaji wake wa majukumu ya kiofisi.Teller ni mtumishi wa benk.Teller alipokosea namba za mteja kuweka pesa alikuwa akifanya hivo kaika utekelezaji wa majukumu yake kama mtumishi wa benki.Kwa maana hiyo benki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.