Search results

  1. P

    Tuiulize serikali maswali muhimu, ambayo inatakiwa kutoa majibu sahihi

    Mianya ya usumbufu na kula pesa za wanyonge
  2. P

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mungu awasaidie. Kweli watafuta ajira serikalini wanasumbuliwa vikali na bila sababu ya maana. Mliopata ajira serikalini kuweni na huruma na kumbukeni mlikotoka.
  3. P

    Diamond Platinum awa gumzo kubwa Paris Fashion Week na vazi lake la pweza

    Ndio ukichaa unaingia hivyo Maradhi ya akili hayo. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuvaa hivyo
  4. P

    Al ahly Tripoli ni timu tishio sio tu kwa simba bali kwenye michuano yote. Simba isipokuwa makini itasambaratika na migogoro itaanza

    Mwamposa hawezi kuwa na mchango hapa? Yule kiboko ya wachawi angeweza kurahisisha kazi lakini wameisha mtimua
  5. P

    Serikali imwangalie Prof. Assad isimwache ateseke hivi. Huyu jamaa hayupo sawa

    Ana uchungu wa fedha za watanzania masikini wakulima na walipa Kodi trilioni moja na nusu zilizopaa na wajuaji Wala matunda ya uhuru.
  6. P

    Muarabu wa Tanzania anaiponda sana Marekani, akipewa viza ya Afghanistan hataki kwenda

    Mbona umekuwa mjinga leo? Hujui njama za wakoloni wako hao wa magharibi? Huo uhuru bandia ndio umeona kitu cha maana? Huoni waafrika wenzako wanavyo uwawa na polisi huko kila siku? Umesau Trump alivyo kuita wewe unatoka nchi za ass hole country? Kaa na umbumbumbu
  7. P

    Wanazuoni wa kiislamu toeni elimu kwa Waumini, wasioulewa vizuri Uislam wao

    Hakuna ALIELAZIMISHWA kufunga. Tofauti ni pale mtu anapotaka kuonesha kiburi na kutaka kudharau maadili ya watu walio wengi sehemu husika. Usipo jiheshimu na kuheshimu wenzio hayo ndio matokeo.
  8. P

    Wakuu nina wazo

    Nyie watu wa ajabu sana. Mungu anawapenda, anawapa ishara zote mwanzoni kabisa kuwa huyo mwenza wako hakufai. N a wewe bado tu umekodoa macho unakusanya za mizinga. Tafuta mke mwema, mcha Mungu, asie na makuu na owa kabisa uone baraka na raha maishani.
  9. P

    Ac za baridi baridi Vs kununua AC kkoo..ipi Bora?

    Kwenye mtandao wao kuna bei za kukodi na AC wanayotumia ni Daikin ambayo ni aina bora lakini zipo nyingi sikoni zanye viwango kama daikin kama Panasonic, Haier, Akai, Midea, Hisense, Gree n.k Hiyo ya kusave Luku ni mbinu za uuzaji tu hakuna ukweli. Sasa fanya hesabu zako mwenyewe. Inaonesha...
  10. P

    Je, ni sahihi Mwamposa kuimba wimbo wa taifa kanisani kwake?

    Ukiwa na tapeli lazima upanue mitego ili kondoo wengi waingie
  11. P

    Ni lini serikali itaingilia kati huu wizi wa mitandao ya simu kuunganisha watu kwenye huduma wasizohitaji?

    Wizara husika iko mfukoni mwa haya mashirika. La sivyo mwananchi a singe kuwa anasumbuliwa hivi
  12. P

    Tamko la serikali dhidi ya "uhuni" kwa kigezo cha Ramadhani ni "uhuni" mwingine

    Acha bakora zitembee wawe na akili za kuheshimu jamii. Tandika tu sababu hakuna namna. Unataka kula tafuta mahali pa faragha sio kuwafanyia watu karaha.
  13. P

    Leo katika historia: Undani wa hayati Abeid Amani Karume (1905 - 1972)

    Zanzibar ilikua mbali hata kuanzia mwanzo wa karne ya 20.
  14. P

    Bondia Dula mbabe wa Tanzania ashushiwa kichapo kizito huko Uk

    Watanzania wanashangilia na kufurahia mtanzania mwenzao kapigwa kwenye ndondi. Safari bado refu
  15. P

    PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan

    Unapokua mbele ya jamii jaribu kuepuka kuwadharau wao na maadili maadili yao. Kuheshimiana ni vizuri. Ikiwa huoni mtu anakula hadharani na wewe tafuta pahali pa faragha ule lakini usijitie umbumbumbu wa kutaka kuonesha umwamba la sivyo hakuna namba ila bakora tu itumike kuku rudisha kwenye mstari.
  16. P

    Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

    Hizi taasisi za kimagharibi na serikali zao zinazojiingiza kwenye masuala ya jamii zetu kila siku ndio zinaleta huu ujinga ambao matokeo yake ni maadili, ndoa na familia kuvurugika. Na bado ushetani mwingi unakuja kuvuruga jamii.
  17. P

    Kumbukizi: Watanzania Waliosimamia kesi ya mpaka wa ziwa Nyasa kati ya Tanzania na Malawi

    Huyo ajuza wa hela ya mboga ndio nuksi hapo. Hana lolote ni uprofessor njaa tu.
Back
Top Bottom