Mungu awasaidie. Kweli watafuta ajira serikalini wanasumbuliwa vikali na bila sababu ya maana. Mliopata ajira serikalini kuweni na huruma na kumbukeni mlikotoka.
Mbona umekuwa mjinga leo? Hujui njama za wakoloni wako hao wa magharibi? Huo uhuru bandia ndio umeona kitu cha maana? Huoni waafrika wenzako wanavyo uwawa na polisi huko kila siku? Umesau Trump alivyo kuita wewe unatoka nchi za ass hole country?
Kaa na umbumbumbu
Hakuna ALIELAZIMISHWA kufunga.
Tofauti ni pale mtu anapotaka kuonesha kiburi na kutaka kudharau maadili ya watu walio wengi sehemu husika. Usipo jiheshimu na kuheshimu wenzio hayo ndio matokeo.
Nyie watu wa ajabu sana. Mungu anawapenda, anawapa ishara zote mwanzoni kabisa kuwa huyo mwenza wako hakufai. N a wewe bado tu umekodoa macho unakusanya za mizinga.
Tafuta mke mwema, mcha Mungu, asie na makuu na owa kabisa uone baraka na raha maishani.
Kwenye mtandao wao kuna bei za kukodi na AC wanayotumia ni Daikin ambayo ni aina bora lakini zipo nyingi sikoni zanye viwango kama daikin kama Panasonic, Haier, Akai, Midea, Hisense, Gree n.k
Hiyo ya kusave Luku ni mbinu za uuzaji tu hakuna ukweli.
Sasa fanya hesabu zako mwenyewe. Inaonesha...
Acha bakora zitembee wawe na akili za kuheshimu jamii. Tandika tu sababu hakuna namna. Unataka kula tafuta mahali pa faragha sio kuwafanyia watu karaha.
Unapokua mbele ya jamii jaribu kuepuka kuwadharau wao na maadili maadili yao. Kuheshimiana ni vizuri. Ikiwa huoni mtu anakula hadharani na wewe tafuta pahali pa faragha ule lakini usijitie umbumbumbu wa kutaka kuonesha umwamba la sivyo hakuna namba ila bakora tu itumike kuku rudisha kwenye mstari.
Hizi taasisi za kimagharibi na serikali zao zinazojiingiza kwenye masuala ya jamii zetu kila siku ndio zinaleta huu ujinga ambao matokeo yake ni maadili, ndoa na familia kuvurugika.
Na bado ushetani mwingi unakuja kuvuruga jamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.