Search results

  1. Masikini_Jeuri

    Nawasalimu baaada ya kimya cha miaka kadhaa. Nnimerudi wakuu

    Baaada ya kimya cha miaka kadhaa . nimerudi wakuu. JF ni nyumbani, ingawa sikushiriki mijadala lakini nimekuwa mfuatiliaji wa hapa na pale kipindi chote hicho. Nawakumbuka hawa ndugu zangu .Mkuu Aspirin, Mkuu Nyani Ngabu , Mkuu Teamo, Mkuu Kaizer, Mkuu Husninyo, Mkuu LD na bila kumsahau Mkulu...
  2. Masikini_Jeuri

    Rais Magufuli: Turudishie Azimio la Arusha

    Naamini misingi iliyoasisiwa na mpendwa wetu Baba wa Taifa katika Azimio la Arusha hasa kwenye maadili ya viongozi wa Umma inao uwezo wa kusafisha na kukusaidia sana kati kazi ya kuongoza taifa letu. Mfanyabiashara abaki kufanya biashara na Mtumishi wa Umma na Kiongozi wa Umma wabaki kuhudumu...
  3. Masikini_Jeuri

    Vyakula na bidhaa za magendo

    Wakati kukiwa na wimbi kubwa la kuingizwa bidhaa hasa za vyakula kama sukari na mchele vya magendo bado sioni jitihada ya kudhibiti hali hii zaidi ya miito ya viongozi wakuu kwa watendaji kuongeza ulinzi na suala kuachiwa polisi wetu wa kawaida kwanini kusiundiwe kikosi maalum cha kazi hii kama...
  4. Masikini_Jeuri

    Anwani ya watengenezaji wa sabuni ya unga ya NiceOne

    Wakuu kwa yeyeote anayeweza kujua contacts a ama namna ya kuwasiliana na hawa watengenezaji wa sabuni ya unga ya Niceone anisadidie
  5. Masikini_Jeuri

    Fursa

    ** TEEP 2016 - 2nd ANNUAL TONY ELUMELU ENTREPRENEURSHIP PROGRAMME ROUND LAUNCHES 1ST JANUARY 2016 Dear A year ago today, we announced the Tony Elumelu Entrepreneurship Programme (TEEP) to the world and you all applied to transform Africa. We are pleased to let you know that on 1st January...
  6. Masikini_Jeuri

    Anwani ya Watengenezaji wa sabuni za Nice One

    Wakuu nahitaji msaada wa kujua anwani (address) ya watengenezaji wa sabuni ya Unga ya Nice One kwa maana ya mahali walipo na namna naweza kuwasiliana nao. Natanguliza shukrani
  7. Masikini_Jeuri

    Tuiboreshe Database ya Jukwaa letu

    Niwaite wanaharakati wapiganaji wenzangu! Nawasalimu kutoka Lupembe mkoani Njombe nikiwatakieni afya njema ! Muda mrefu kidogo nilipotea jukwaani ; lakini katika kurudi kwangu nimekutana na mambo mengi ya heri na habari nyingi na taarifa muhimu. Ila kwa mtazamo wangu bado hatujaziweka katika...
  8. Masikini_Jeuri

    Wapi napata ngozi kavu za ngombe

    Ni pm Nipe bei na namna ulivyozipack ...
  9. Masikini_Jeuri

    Yeyote mwenye contacts hizi

    Nahitaji mawasiliano na watengenezaji / viwanda au waingizaji wa nywele bandia hapa nchini; Rasta, Weave na hair extensions yeyote aliye nazo aua anayezifahamu naomaba naijulishe tafadhali
  10. Masikini_Jeuri

    Massey Ferguson 595..........njoo zichukue

    1991-94 Model, 90hp. 2WD...zote ziko katika hali nzuri zote zinafanya kazi Bei 18ml............bila accessory yoyote.........Maongezi yapo na commission pia ipo Karibuni
  11. Masikini_Jeuri

    Trekta linauzwa!

    Massey - Ferguson 595 90HP 2WD Liliingizwa nchini Dec 2009 Liko katika hali nzuri na limefanya kazi; Iringa; Dodoma na Ruvu! Ni pm kwa anayehitaji MODS : nimeshindwa kuattach picha Naomba MODS mnipm niweke pich hapa kwa ajili ya wadau!
  12. Masikini_Jeuri

    Zifanyeni kuwa "Sticky"

    Posts ya Kwako kinamea kitu gani, na ile ya uchimbaji wa visima............ni issues zitakazoendelea kujadiliwa hapa................nawaombeni mods!
  13. Masikini_Jeuri

    Ndege kubwa kiasi gani yaweza kutua Nduli?

    Natamani kujua kwenu wataalamu ni ndege ya ukubwa gani i.e inayobeba abiria wangapi ya kiraia inayoweza kutua Nduli?
  14. Masikini_Jeuri

    Tovuti ya Tanzania Investment Centre............haiko hewani!

    Kuna jambo nilitaka kutazama huko ghafla nashangaa kuona haipatikani url niliyo tumia ni www.tic.co.tz.! tena nilitaka nihakiki ili nimwelekeze mgeni mmoja atazame................aibu tupu! Je ni yenyewe ama nimepotea njia...........msaada ama aliyeano jirani amshtue S.A wao! kama ni kweli...
  15. Masikini_Jeuri

    Namna ya kukata rufaa baada ya hukumu

    Ndugu yangu kahukumiwa kifungo cha miezi sita kwenye kesi ya madai..............; kwamba aliwaajiri watu amabao walikubaliana kulipana bbada muda fulani na kwa kuwa yeye hakuwa ametimiza malipo muda ulipofika ; wadai wake walifungua kesi katika mahakama ya mwanzo na hukumu imetolewa kuwa...
  16. Masikini_Jeuri

    True Love?

    Does true love ever die? Can someone lend something to this topic please?
  17. Masikini_Jeuri

    Mh. Mkosamali: This week in perspective

    Lugha ya kimombo ilikuja kwa meli ....................
  18. Masikini_Jeuri

    Lets share: ~~~FOR ALL WHO NEED ENCOURAGEMENT FOR THEIR MARRIAGES~~~

    Written by: Becky Morales 2-14-2012 and inspired by God My heart goes out to all who are suffering broken marriages, who are losing hope and trying so hard to hold on, but see it hard to hold on when things look so messed up and so lost. No matter what you are going through remember that...
  19. Masikini_Jeuri

    Wizara ya Afya...SHAME ON YOU!

    Nitakwenda kinyume na wengi..............mtiriiriko wa yaliyojiri hivi karibuni katika Wizara hii pamoja na mgomo wa Madaktari...........ni matokeo ya uozo na mbinu chafu zilizokuwa zikiendelea wizarani hapo kwa muda mrefu.............! Blandina Nyoni ana mapungufu yake lakini pia kwa sehemu...
  20. Masikini_Jeuri

    Mkutanoa wa Davos............nini tumejifunza?

    Tunafaida na yaliyozungumzwa huko kamAfrica na kama Tanzania ama ni jukwwa jingine la world politics
Back
Top Bottom