Baaada ya kimya cha miaka kadhaa .
nimerudi wakuu. JF ni nyumbani, ingawa sikushiriki mijadala lakini nimekuwa mfuatiliaji wa hapa na pale kipindi chote hicho.
Nawakumbuka hawa ndugu zangu .Mkuu Aspirin, Mkuu Nyani Ngabu , Mkuu Teamo, Mkuu Kaizer, Mkuu Husninyo, Mkuu LD na bila kumsahau Mkulu...
Naamini misingi iliyoasisiwa na mpendwa wetu Baba wa Taifa katika Azimio la Arusha hasa kwenye maadili ya viongozi wa Umma inao uwezo wa kusafisha na kukusaidia sana kati kazi ya kuongoza taifa letu.
Mfanyabiashara abaki kufanya biashara na Mtumishi wa Umma na Kiongozi wa Umma wabaki kuhudumu...
Wakati kukiwa na wimbi kubwa la kuingizwa bidhaa hasa za vyakula kama sukari na mchele vya magendo bado sioni jitihada ya kudhibiti hali hii zaidi ya miito ya viongozi wakuu kwa watendaji kuongeza ulinzi na suala kuachiwa polisi wetu wa kawaida kwanini kusiundiwe kikosi maalum cha kazi hii kama...
** TEEP 2016 - 2nd ANNUAL TONY ELUMELU ENTREPRENEURSHIP PROGRAMME
ROUND LAUNCHES 1ST JANUARY 2016
Dear
A year ago today, we announced the Tony Elumelu Entrepreneurship
Programme (TEEP) to the world and you all applied to transform Africa.
We are pleased to let you know that on 1st January...
Wakuu nahitaji msaada wa kujua anwani (address) ya watengenezaji wa sabuni ya Unga ya Nice One kwa maana ya mahali walipo na namna naweza kuwasiliana nao.
Natanguliza shukrani
Niwaite wanaharakati wapiganaji wenzangu!
Nawasalimu kutoka Lupembe mkoani Njombe nikiwatakieni afya njema !
Muda mrefu kidogo nilipotea jukwaani ; lakini katika kurudi kwangu nimekutana na mambo mengi ya heri na habari nyingi na taarifa muhimu.
Ila kwa mtazamo wangu bado hatujaziweka katika...
1991-94 Model, 90hp. 2WD...zote ziko katika hali nzuri zote zinafanya kazi
Bei 18ml............bila accessory yoyote.........Maongezi yapo na commission pia ipo
Karibuni
Massey - Ferguson 595 90HP 2WD
Liliingizwa nchini Dec 2009
Liko katika hali nzuri na limefanya kazi; Iringa; Dodoma na Ruvu!
Ni pm kwa anayehitaji
MODS : nimeshindwa kuattach picha
Naomba MODS mnipm niweke pich hapa kwa ajili ya wadau!
Kuna jambo nilitaka kutazama huko ghafla nashangaa kuona haipatikani url niliyo tumia ni www.tic.co.tz.!
tena nilitaka nihakiki ili nimwelekeze mgeni mmoja atazame................aibu tupu!
Je ni yenyewe ama nimepotea njia...........msaada ama aliyeano jirani amshtue S.A wao!
kama ni kweli...
Ndugu yangu kahukumiwa kifungo cha miezi sita kwenye kesi ya madai..............; kwamba aliwaajiri watu amabao walikubaliana kulipana bbada muda fulani na kwa kuwa yeye hakuwa ametimiza malipo muda ulipofika ; wadai wake walifungua kesi katika mahakama ya mwanzo na hukumu imetolewa kuwa...
Written by: Becky Morales 2-14-2012 and inspired by God
My heart goes out to all who are suffering broken marriages, who are losing hope and trying so hard to hold on, but see it hard to hold on when things look so messed up and so lost.
No matter what you are going through remember that...
Nitakwenda kinyume na wengi..............mtiriiriko wa yaliyojiri hivi karibuni katika Wizara hii pamoja na mgomo wa Madaktari...........ni matokeo ya uozo na mbinu chafu zilizokuwa zikiendelea wizarani hapo kwa muda mrefu.............!
Blandina Nyoni ana mapungufu yake lakini pia kwa sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.