Nilijenga nyumba pamoko na mwanamke WA kiiraq (mbulu) akaja nianzishia kuwa nyumba Ile ni yake Kwa kuwa alitumia fedha nyingi kwenye ujenzi zaidi YANGU. Mwisho pale tulipokuwa tunaweka hati aliiba nilipoulizia alidai ameshaichukua... Niliogopa sana na kupoteza Imani Naye. Ilibidi nijenge kiwanja...
Sorry HAYO mafuta ya samaki "in case" mtoto akipewa yanamjenga HADI akiwa na umri Gani?. Je miaka minne yanaweza Bado kufanya kitu au limitation ni miaka 2 kama ilivyo kawaida?
Dini ni utumwa WA mawazo... Why kuamini vitu ambavyo havitakaa viwe na ushahidi?..... Ukimuuliza mchungaji akupe takwimu ya me na ke walio enda mbinguni let's say mwaka 2022 aliowazika Hana data. Kila mwaka anafundisha bible Kwa kurudia maneno Yale Yale na hata haifanyiwi amendment kulingana na...
Mimi niliacha BAADA ya kusoma vitabu /nakala mitandaoni zilizoachwa kuingizwa kwenye bible mf habari za Lylith mke WA kwanza WA Adamu aliyeumbwa na mungu Kwa kufinyangwa kama Adamu Kisha akamsaliti Adamu n. k .... Nikahisi tunapigwa
KWANI Mama yako hawezi KUWA na hiyo Hali Kwa baba yako?. Unajuaje undani wao. Inawezekana baba na mama wana ugomvi kumbe baba alimfumania mama Mahali. (Watakueleza Hilo?).LAKINI mkiwa na mama Kila siku anamponda baba, na nyie WATOTO mnakariri baba mbaya! Au mda mwingine mama anamdhulumu baba...
Historia (vitabu VYA mapokeo) hailezi hivyo! Uwongo ukihubiriwa muda mrefu unakuwa ukweli FUTA hiyo dhana (Concept) Au uje na chanzo (Source) Cha hadithi yako hiyo!
Mpare Og!
Hizo zote ni hadithi TU.... Binadamu Hana uhakika na maisha baada ya kifo!!.... Mwisho WA MAARIFA ya kisayani ni mwanzo WA Imani mbali mbali mf. Upagani, ukristo, uislamu n. k
Mambo ya Imani HAYO... Inaweza ikawa kweli au SI kweli. Binadamu mambo Yao yote yasiyo na majibu wanayapeleka kwenye Imani. Iweje Ng'ombe ambaye ana damu (yenye cell kama yako) akifa asiende Mahalia ila wewe uende?!!!!!
Mimi pia Sina tabia ya kujichanganya na ikitokea nakaa muda mfupi Sana na kuondoka. Huwa naamini kuwa binadamu akifanya urafiki na wewe KUNA kitu anakitafuta kwako. Akipata anachokitafuta hukimbia! Hujawahi kuona mtu mwenye fedha anakuwa na MARAFIKI wengi na Kisha akifilisika anabaki peke yake?
We jamaa akili zako haziko sawa.Regulator WA uwezo WA Walimu ni NECTA NA NACTE .Vyombo viwili hivyo havikuweza? Au mwajiri haviamini?Huko KUNA rushwa? Acha kuchanganya Siasa na mambo yanayohitaji utaalam.Interview zinazofanyika Kwa Walimu WA private schools ni mbinu ya mchujo kukwepa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.