Kwa miaka kadhaa sasa, kumekuwa na mijadala kadhaa Tanzania kuhusu uwezekano wa Watanzania kuwa na uraia pacha.
Serikali imekuwa na woga wa kutoa uraia pacha kwa hoja kwamba itaongeza hofu ya usalama (security issues), kwamba mtu anafaya kosa Tanzania kwa uraia wa Tanzania then anakimbilia nje...
Habari ya asubuhi wadau.
Wapi naweza kupata boti ndogo kwa ajili ya uvuvi mdogo kwa maeneo ya Dar ama Pwani? Unapojibu tafadhali ambatanisha picha na bei elekezi.
Naambatanisha picha za aina ya boti ninayotaka.
Nimeandika thread ndefu kiasi chake, unahitaji muda kuisoma. Samahani kwa hilo ndugu msomaji...
Tuanze hapa hapa:-
Utangulizi
Wanajamvi, hapa majuzi mwanamuziki Vanessa Mdee aliamua kufunguka na kuongea ukweli wake kwamba muziki unampa msongo wa mawazo “stress” kwa sababu analazimika ku fake...
Ndugu wanabodi, nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na sasa Uganda zimevamiwa na baa la nzige (locust) ambao ni wadudu waharibifu sana wa mazao. Kiufupi, nzige wana uwezo wa kula hekta 100 za mazao kwa muda wa saa zisizozidi 3. Uharibifu waliofanya kwenge mazao Kenya na Uganda hausemeki, ni njaa tu...
Kuna thread humu jukwani nimeona inaongelea majina ya ajabu ajabu ya Wakinga wa Makete mkoani Njombe, akina Bonet Sanga, Diff Nyaluke nk. Lakini naona majina ya Wasambaa wa Lushoto na Korogwe ni kiboko zaidi, achimia yale ya akina "SHE". Wao wana majina ya bidhaa/vifaa mbalimbali. Kama haya...
Nimefungua thread hii maalum kwa ajili wapenzi wa nyimbo za oldskool, miaka ya '90s kurudi nyuma. Unaruhusuwa kuomba wimbo wowote wa oldskool wa nje (sio bongo fleva), na tutaweka hapa. Hii ni kukumbushana enzi za mtaa wa mangoma (enzi za DJ JD, Fast Eddy, nk) na wengineo. Mwenye wimbo atatupia...
Natafuta Noah Old Model aidha LiteAce au TownAce (G exurb au super extra Limo), ya kuanzia mwaka 1999 na kuendelea, iwe na namba C** au D** na iwe kwenye hali nzuri.
Bajeti yangu ni 8m.
Sihitaji madalali
Mawasiliano 0763 966 782
Nauza Toyota Prado
Model: E-RZJ95W
Ukubwa wa jiko (injini) cc 2690
Rangi nyeusi
Inatumia petroli
Imetembea km 200,000
Imetumika muda mfupi sana hapa Tanzania
Gari ipo Dar Es Salaam
Bei: 22m. Maongezi yapo
Mawasiliano: 0763 966782
Karibuni sana
Mtengenezaji: Kirloskar Green
Nishati: Inatumia dizeli
Ukubwa: 20 KVA (16 kW)
Voltage: 230/415 three phase
Frequency: 50 Hz
Mwaka iliotengenezwa: 2011
Mwaka ilioanza kutumika: 2013
Bei: Dola 8000 za Marekani (maelewano yapo)
NB: Jenereta iko katika hali nzuri sana.
Kwa ukaguzi na mawasiliano...
Nauza gari aina ya Honda FIT
Mwaka ilipoundwa: 2007
Ukubwa wa injini: CC 1330
Rangi: Dark Blue
Imetembea: km 123,000
Imelipiwa kila kitu na haijawahi kupata ajali
Bei ni 7.8 milioni, maongezi yapo.
Haina shida yoyote ya kiufundi, unaweza kuja na fundi wako.
Gari iko Masaki Dar, kwa anayehitaji...
Naona majirani zetu hawajaridhika na mlima Kilimanjaro, Oldvai Gorge na Ngorongoro, wameamua kuiba na daraja la Kigamboni kabisa.
Maajabu hayatakwisha duniani
Wanajamvi, nina Samsung Galaxy S Duos, niliidondosha ikapasuka kioo, kwa hio touch screen haifanyi kazi tena.
Wapi naweza kubadili kioo cha simu hii kwa Dar?
Wataalamu wenzangu, msaada wa mawazo ya kiufundi.
Nina PC Dell Optiplex GX 270, haioneshi CD drive ambayo imekuwa installed. CD rom inapata power kama kawaida, kwa maana ya kwamba inaingiza na kutoa loader,ila haionekani katika 'My Computer'.
Nimejaribu kubadilisha CD drive nyingine, nayo...
Poleni kwa majukumu wana JF.
Tarishi hauawi, naleta ujumbe kama nilivyoupata toka kwa mlengwa.
Anayetafuta mchumba ni mwanamke mwenye sifa hizi:
- Ni mrefu wa wastani, maji ya kunde
- Ana umri wa miaka 26
- Elimu, ana diploma ya mambo misitu na ana mpango wa kujiendeleza kielimu
- Ni mkristu...
Mnyonge Mnyongeni, lakini haki yake mpeni.
Katika kikao cha saba cha bunge lilohitimishwa jana, kamati yake ya Hesabu za serikali a mitaa ilitoa ripoti moja nzuri sana juu ya ubadhirifu mkubwa ulioonekana katika serikali za mitaa.
Kamati yake, tofauti na kamati nyingine za bunge, ilithubutu...
Ndugu wanabodi, kamera yangu digital aina ya Sony imedondoka, lens ikiwa imefunguka katika standby mode. Inagoma kurudisha lens ndani kwa kuwa imepinda. Kwa anayejua fundi mzuri na mwaminifu wa kamera kwa Dar naomba anijulishe. Please help!
Huyu 'Kafulila' wa Afrika Kusini naona kasumbua sana vichwa vya akina Zuma na Montlante, kwa kutaka 'vya wakubwa'. Nimefuatilia sana mikasa ya Malema na siasa za kupanda na kushuka kwake, naona kama vile ataimarika iwapo atajiunga na chama kingine, kwa sababu bado ana wafuasi wengi sana nchini...
Ndugu wanajamvi,
Poleni kwa majukumu. Leo kulipangwa kufanyika mahafali ya wanafunzi wa kidato cha sita wanaohitimu masomo mwaka huu. Habari nilizopata muda huu kutoka kwa wilayani Korogwe ni kwamba, wanafunzi wakiwa wanaendelea na maandalizi ya kuingia ukumbini kuanza sherehe, ikatokea mwenzao...
Kiongozi wa Kambi ua Upinzani bungeni mheshimiwa Freeman Mbowe akifafanua jambo wakati wa kikao cha kujadili ratiba ya maziko ya Mhe. Regia E. Mtema. Kutoka kushoto ni Mhe. Maua Daftari, Mhe. Zaituni Buyogela Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. William (Bill) Lukuvi). Chanzo: Michuzi Blog
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.