Chalamila amekosea kwa 100%.
Hakuna mtu aliyepewa mamlaka ya kuua mtuhumiwa. Hata polisi hawana hayo mamlaka.
Suala la kujilinda dhidi ya adui anayetaka kukudhuru lina sheria yake, na sheria hiyo haimpi mamlaka mtu kumuua mtuhumiwa.
Kupitia video inayotembea mitandaoni, mkuu wa mkoa wa Dar, ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama, Albert Chalamila amesikika akitoa kauli hizi tatu kwa ujasiri mkubwa;
1. Amekiri, kujitamba, kujivunia na kujipongeza kwa kuua? mtuhumiwa wa wizi aliyeingia nyumbani kwake mkoani...
Umeshawahi kuishi Tanga?
Mimi nimekwambia kitu ambacho ninakifahamu.
Viwanda na mashamba ya mkonge yalikuwa mkoa Tanga lakini sio tanga mjini!
Viwanda vya kuchakata mkonge vilijengwa ndani ya mashamba ya mkonge na kisha ulisafirishwa na treni kutoka shambani kupelekwa popote. Na makazi makubwa...
Usije kujidanganya kuwa na Elimu bora au kuwa na kazi kunaweza kukufanya ukaondokana na umaskini.
Nenda chunguza na utagundua kuna utitiri wa wasomi na wafanyakazi ni maskini wa kutupwa.
Umaskini ni mtazamo wa kifikra kwa 100% na sio kutokuwa na akili au kukosa pesa, ajira au elimu ya darasani...
Kulikuwa kuna kadingi fulani bungeni, sijui kabunge kaCCM kule Nkasi, kalikuwa kanalipukaga balaa wazenji tukianza kufungua midomo bungeni kuhusu huu muungano.
Kale kadingi kangekuwepo leo hapo bungeni pasingekalika.
Huyo mbunge naye kiazi kabisa.
Yaani anasema viongozi wa Tanzania wanaotokea Zanzibar wanabaguliwa, halafu hapo hapo anaambiwa yeye ajitambulishe kama mtanzania ili asibaguliwe anakataa kata kata, anang'ang'ania tu kuwa yeye ni Mzanzibar na sio mtanzania!!
Kiufupi tu wewe fahamu, hakuna kitu kinaitwa jiji la Dar, ni mazoea tu kuita hivyo. Kiofisi na kisheria kwa Dar jiji ni Ilala. Mkoa hauwezi kuwa jiji bali manispaa ndani ya mkoa ndio inayoweza kupandishwa hadhi na kuwa jiji. Hivyo Kinondoni inaweza kupandishwa hadhi na kuwa jiji.
Naona hapo umechanganya.
Halmashauri (wilaya) ya Tanga mjini (sio mkoa wa Tanga wote) imekuwa jiji miaka ya katikati, sio miaka ya 1970. Zao la mkonge halilimwi Tanga mjini bali katika wilaya zingine za mkoa wa Tanga. Umaarufu wa kipesa wa Tanga mjini uliletwa na Bandari na viwanda vikubwa.
Sijui kama Watanzania wengi wanajua kuwepo kwa vikao vya bunge la bajeti vinavyoendelea Dodoma. Yaani kuanzia mitaani, mitandaoni, redioni, Kwenye Luninga na magazeti hakuna habari wala mijadala mizito inayoibuliwa kutokea bungeni, yaani kumepoa balaa.
Mahudhurio ya wabunge ni hafifu mno...
Hiyo lafidhi na hizo swaga zipo kwa wanawake wa kichaga na kimeru.
Yaani ukute ndio ana kazi kaajiriwa, kasoma kiasi na tayari umemuoa na kuzaa naye, basi ngoma inakuwa hivyo.
Mimi ni mvivu wa kusoma vitu vingi, hivyo honesty ninaweza nisifanikiwe sana kuperuzi huko.
Upande wa pili, wasomaji wengi wa JF pia ni watu wenye tabia kama hizo.
Kwa kuwa mada umeileta hapa JF, kama hutojali, unaweza ukatupa majibu rahisi (muhtasari) ya hayo maswalo na kuweka hizo rejea ili...
Mkuu kwani Magufuli (msukuma wa kuunga unga wa huko Chato) aliwazidi vipi ujanja magwiji wote wa mjini ndani ya CCM na nje ya CCM na kuwa rais wa Tanzania?
Ama yule mama yetu wa Kizanzibar akawa Rais wa Tanzania?
Mzee Said unaweza kutusaidia kutujibia haya maswali machache muhimu ili kujenga au kukuza msingi wa hoja yako hapa.
1. Ni akina nani ndio waliohusika kuhakikisha historia ya TANU katika kudai uhuru inapotoshwa? Tutajie ili tuwajue.
2. Nini lengo la historia ya TANU katika kudai uhuru...
Wabongo hatuoni jema kwa mtu, so far kijana ameupiga mwingi tu, mambo mengine ni mipango ya kocha. Hamuwezi wote mkacheza, na wote mkacheza viwango vinavyofanana.
Huyo alipaswa kueleza ni kina nani hao na kivipi wanambagua Rais wetu kwa uzanzibar wake.
Pia anapaswa kujua, Rais Samia ni Mzanzibar kwa 100%, watu wanapo mtambulisha kama mzanzibar sio kuwa wanambagua bali wanamsifia, maana ndivyo alivyo na anajivunia kuwa Mzanzibar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.