Wakuu, nahitaji kampuni ya clearing agent, waaminifu, wazoefu, sitaki bei za kubambikiwa. Pia awe na uwezo wa bargain na TRA (mtu anayehitaji huduma ana machungu na hela)
Weka mawasiliano na anwani zote hapa.
Salaam Wakuu
Naomba kufahamu mambo kadhaa kuhusu msamaha wa kodi kwa watumishi wa serikali
1. Ni magari yapi yanayoruhusiwa kuombewa msamaha wa kodi?(say mtu anataka kuagiza Cayenne au Range Rover, au hata VW Toureg, BMW X3, X5 haina shida gari yoyote inaweza kupewa msamaha, au ni gari zenye...
Salaam wakuu
Hizi gari zinanichanganya
Hii ni ESCUDO au GRANDA ESCUDO? Maana wauzaji wengine wanaiita GRAND wengine wanaiita ESCUDO tu. Sasa katika calculator ya TRA gari hizi mbili zinatofautiana sana ushuru, GRAND ina ushuru mkubwa mno, na hii ushuru wake ni mdogo na ndy gari nzuri. Wenye...
Salaam wakuu,
Naomba msaada wa sim unlock code ya hii kitu. IMEI: 862076012032055
Au mwenye kufahamu software tofauti na DC inayoweza kufungua hii simu.
Heshima mbele wakuu.
Wakuu naomba kufahamu kodi za magari haya, mpk kuliweka barabarani: 2005 Toyota Mark X, 2400cc, 2004 Toyota Verossa, 2000cc, 2004 Toyota Camry, 2005 Audi A4, 2000cc. Nimeshindwa kutumia kikokitoo cha TRA Sababu niko mobile.
Salaam wakuu,
Nauza Amazon Kindle (Kindle 3, Kindle Keyboard) kwa laki 3 tu!!..iko na LED smart cover nyeusi (kama inavyoonekana kwenye picha)....free 3g connection popote! Ina vitabu 1460 (elfu moja mia nne na sitini!!!!). Novel nyingi za waandishi maarufu kama Dan Brown, Robert B, James...
Binafsi napata vitu viingi sana kutoka thepiratebay.se, Mmoja wa vinara wa TPB Peter Sunde yuko kizuizini kwa kitambo sasa,wadau wameanzisha petition wanahitaji sign 100,000 (laki moja) katika juhudi za kumtoa jamaa ambaye alipigwa mvua moja (?) na faini ya mamilioni ya euro. Kwa yeyote...
Heshima wakubwa, Naomba kufahamishWaa ni Jinsi gani naweza kupata huduma za dstv mobile wanazotoa vodacom,kwenye iPad. Nimejaribu inaniambia device not supported!
Heshima mbele.
Heshima mbele wakuu, mwakani nataka kumpeleka shule Jr.
Kwa sasa natafuta shule ya awali na msingi, Morogoro, Arusha, Iringa,Mbeya, Mwanza, au Dar (spendelei sana dar)! Kama ni nje ya Tanzania iwe Kenya, South Africa au Botswana. Ubora wa elimu ni jambo la mbele kabisa. Nakaribisha maoni wakuu...
Wakuu, hii simu imenishinda kabisa kuunganisha na internet; natumia line ya voda, nimeingiza settings kama ifuatavyo lakini chali;
Profile(account) name: voda tz
Proxy sever number:010.154.000.008
Proxy port number:9401
Acces poin name(APN): wap
Username:
Password:
MSAADA TAFADHALI!
Heshima kwenu wakuu.
Nimekuwa nikiwaza na kuwazua kuanzisha biashara mpya ya uzalishaji katika kujiongezea kipato endelevu, kuna mawazo kadhaa yapo mezani; kati ya Mengi linenivutia zaidi wazo la kuanzisha Distillery ya vinywaji vikali kutokana na Ngano, Uwele, Viazi na Malighafi nyingine ambazo...
Wakuu, wakat nafanya kazi kkwenye simu yangu, kuna mtu ameingiza wrong pin 3 times ikablock, sasa inadai PUK, nawezaje kupata PUK? Kikadi nilishakipoteza! Kuna njia ya kutuma meseji kwenda namba flani lakini mimi nilishasahau, anayefahamu tafadhali tufahamishane!
Wakuu, nimekutana na hii kitu kwa wazee wa gizmodo, kilichonivutia siyo headphone ya huyu dogo, bali ni comment za wadau kuhusu muelekeo wa RAP na HIPHOP. Binafsi naamini kabisa kuwa rap ya sasa haina mistari iliyosimama na yenye akili timam kama miaka ya 80 na 90, vijana wa sasa hivi wamekaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.