Kagame anapata sifa nyingi sana hasa kwenye vyombo vya habari vya magharibi lakini ukweli ni kwamba sababu kubwa ya kupendwa ni kwamba yeye pamoja na Museveni ndio walinzi wakuu wa western interests katika great lakes region (hasa Marekani).
Katika historia ya Afrika Mashariki na kati hakuna...
Wakati tukiona wimbi la tatu likianza nchi za jirani, Raisi wetu ana mpango gani kuhusu korona?
Mbona bado takwimu hazijaanza kutolewa? Je, huko mikoani kuna vipimo?
Je, hospitali zote hasa mikoani zimetayarishwa pamoja na vitendea kazi?
Je, vyama vya madaktari vinasemaje?
Sent from my...
Fastjet imetoa tamko Leo kwamba Biashara yake ya Tanzania haina faida na kwamba inaweza kufunga virago kama isipopata mtaji mwezi huu. Hii ndio statement walioitoa London stock exchange
...............
Additional funding will be required by the end of October to enable fastjet to continue...
Inasemekana sababu moja kubwa ya hali ngumu mitaani ni makato waliyofanyiwa wafanyakazi wa serikari kama semina nk.
Kwa wanaofahamu mfanyakazi wa kawaida kwa mfano kama mshahara wake wa mwezi ni milioni moja je alikuwa anaweza kuingiza kiasi gani zaidi kwa njia ya posho n.k?
Je, kweli hizo...
Wachumi wanasema baada ya miaka mitano hazina ya Saudi Arabia itakuwa imekauka.
Kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta, Saudi imekopa dolla billioni 10 kutoka kwenye masoko ya kimataifa wiki hii.Hii ni mara ya kwanza katika miaka 25 iliyopita.
- Kuanzia mwaka jana Saudi imetumia dollar bilioni...
Askari wa Libya waliokuwa kwenye mafunzo ya kijeshi Libya, wamelipiza shukrani ya majeshi ya uingereza kumuondoa kadafi kwa kumbaka kinguvu mwanamme nchini uingereza walipokuwa kwenye mafunzo ya kijesishi.
Askari hao wamehukumiwa kufungwa miaka 12 jela nchini Uingereza. Serikali ya uingereza...
Naomba mnisaidie
Nina laini ya Voda, je kama siitumii kupiga simu lakini hela inawekwa( kwenye Mpesa) na kuna balance, je ni kweli line itakatwa baada ya miezi sita?
Nashukuru.
Wandugu.
Katika topic hii nitathibitisha kuwa, kiini cha hizi dini ambazo waafrika wengi hasa hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla tunazozifuata zina kiini Afrika. Kwa maana hii, namaanisha, waisraeli waligeza mawazo ya Mungu ya Afrika na kuyageuza kuwa mawazo yao na mwisho kuyageuza/ distortion...
Habari inayolindima sasa hivi ni hili suala la wapiganaji wa Iraq wajulikanao kama ISIL. Ukiangalia historia ya ISIL utaona kwamba kama wamarekani wasingevamia Iraq 2003, ISIL isingekuwa kama ilivyo sasa hivi. Hebu tuangalie wamerakani wamesababisha vikundi vingapi vya ugaidi duniani.
1)...
Hivi majuzi nimesikia waghana waliokwenda kuangalia kombe la dunia Brazil wamegoma kurudi kwao. Kisingizio eti kuna vita vya kidini kwao.Wakati inajulikana Ghana ni mmojawapo kati ya nchi zenye amani Afrika.
Kinachonishangaza, Ghana ina ahueni kiuchumi, ikiwa na kipato cha kati kama Brazil...
Natafuta kiwanja boko au bunju kiwe kama square metre 1000 na kisiwe zaidi ya mile moja kutoka bagamoyo road.
Naomba kwa anayejua bei ni kama kiasi gani?
Nimemuangalia sasa hivi Kenyatta anahutubia wakenya nimeshangaa anatumia kiingereza. Wakati huohuo Hollande anahutubia UN kwa lugha yake kifaransa. Hivi Waafrika ni ushamba au ujinga?
Naomba jibu
Nchi inasambaratiki hivi ,
Soma hapa.
http://www.independent.co.uk/news/world/africa/special-report-we-all-thought-libya-had-moved-on--it-has-but-into-lawlessness-and-ruin-8797041.html
Ngungi wa Thiongo ameponda waandishi wa kiafrika kuendekeza kuandika novel kwenye lugha za kigeni kama zile zinazopewa tunu za caine prize na nyinginezo.
--------------------------------
It was this sort of exclusion that Ngugi wa Thiong'o challenged at the "Africa Writes festival" in London...
Nasikia south africa kuna msemowa weusi unaosema 'wait until Mandela dies'.Je hofu za wazungu ni kweli kwamba Mandela akifa wazungu watanyanganywa mashamba yao kama Zimbabwe?Umasikini wa waafrika wa Afrika ya kusini ni mkubwa zaidi kuliko ule wa waZimbabwe
Je kuna ukweli katika msemo huu?
Nakumbuka enzi zile wakati hakuku wa na members wengi kama sasa, na internet ilikuwa hadimu.
Yaani wanachat tulikuwa kama family ndogo hivi, tulikuwa tunajuana personality ya kila mtu wako wapi.
Dues, Curtis, uncle Ben,mdosi mzalendo,rubabi, nshomile,poble cl,milosevic,abu muttalib,kishoka, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.