Natanguliza shukrani , nilikuwa nahitaji msaada kwa mtu anaeweza kutengeneza sabuni za kuoshea chooni, nilipenda zaidi na mm kujua jins ya kufanya ili niweze kutengeneza pia,
Habarini wanajamvi, nahitaji baadhi ya spare kama microphone ya Lumia 820 , USB port ya 820, charger connector ya Lumia 920, charger controller IC ya Lumia 820 kama Kuna mtu anafahamu Duka au anauza simu kama spare anitafute 0755680562
Nilianza uundaji Wa box za Spika za sub woofer kwa ajil ya magari, nyumbani na maukumbini, natumia MDF Kama materials ya kuundia box, rangi na Leather kwa decoration.
Motherboard ya CPU tajwa imeharibika na nahitaji kuibadili Mpya, ambaye anaweza nisaidia kwa alie Kariakoo au anajua duka wanapouza hizi motherboard anielekeze
Habarini wakuu. Natafuta body(circuit body ya CPU ya HP compaq 5850, kwa walio dar naombeni mnisaidie location nipate sehemu wanapouza body za compyuta
Jamani , naombeni kujua kwa dar naweza kupata wapi kioo cha flat screen ya sing sung 32 inch kwa pale kariakoo duka gani naweza kupata . Au kama kuna mtu anaweza nipa mawasiliano / namba za simu za hayo maduka kwa dar
Natanguliza shukrani kwanza , naombeni mnisaidie nifanyaje maana simu yangu sikuitumia takribani miezi 4, kwasabu ya kuwa na ubovu wa betri na sasa betri imepatikana nikaiweka alafu nikacharge lakin muda wa saa 1 nkaitoa nikaanza kuifanyia setting lakn ilipoanza kupungua chaji ikanibd...
Samahani wakuu, naulizia kuhusu ufungaji wa spika za bass(sub woofer za magari), hivi inahitaji utaalamu wa hali ya juu sana au kawaida tu na kama inahitaji utaalamu sana mambo gani ya muhimu ya kuzingatia ili uwe na huo utaalamu maana na mimi nataka nianze hiyo kazi.
Wanajamvi , naombeni mnielekeze duka gani kwa dar naweza kupata transfoma mpya zenye kiwango kuanzia 12v -0 -12v mpaka 30v -0-30v . Na ampere 3 mpaka 5 mwisho. Na bei zake kama mtu anauzoefu aniambie .
asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.