KWA WALE WENYE KUHITAJI BLACK SEED OIL AU HABBAT SODA OIL WANAWEZA KUWASILIANA NAMI KUPITIA 0756419186. UBORA WA MAFUTA HAYA KATIKA TIBA NA KWA AFYA YA BINADAMU UNAWEZA KUINGIA MTANDAONI UKAIPATA BURE KABISA. KARIBUNI KWA WENYE KUHITAJI.
Kwa wale wenye uhitaji na Habbat Soda au Black Seed Oil kwa lugha ya Kizungu wanaweza kuwasiliana nami kupitia ile namba yangu ile ile 0756419186 na yanaweza kukufikia popote ndani ya nchi hii maadam kuna mabasi ya toka Dar kwenda huko ulipo. Unaweza kupitia makala haya hapa chini na pia unaweza...
HABBAT SODA AU BLACK SEED OIL NI DAWA KWA KILA UGONJWA ISIPOKUWA KIFO
Mada hii kuhusiana na nguvu ya Black Seed Oil katika kutibu magonjwa si jambo geni humu. Mimi naelta marudio tu maana imeshaletwa humu mara nyingi na akina Mzizi Mkavu.
Inapotokea wafalme wa Misri, Malkia wa Ulaya, Mitume...
bila shaka wengi mmesikia juu ya nguvu ya mafuta haya yanayotokana na mmea unaoitwa "Sativa Nigella" kwa jina la kisayansi katika kutibu magonjwa mbalimbali. Dawa hii inaaminiwa kutibu magonjwa mengi sana yaliyoshindikana kwa dawa za hospitali. Pia humu wengi ni mashuhuda wa nguvu ya mmea huu...
Tanzania na Kenya zinajitenga na Afrika? Ufa waibuka Bonde la Ufa na kuongeza uwezekano Afrika kugawanyika
Kuibuka kwa ufa mkubwa katika eneo la Suswa katika Bonde la Ufa kusini magharibi mwa Kenya kumezua wasiwasi kuhusu uthabiti wa eneo la Afrika Mashariki kijiolojia.
Wataalamu wanasema...
Viwango vya wanawake kuweza kupata mimba nchini Tanzania vimepungua hadi 5.2 kwa kila mwanamke nchini Tanzania mwaka 2015/2016 kutoka 6.2 kwa kila mwanamke miaka ya 1991/92, kulingana na utafiti wa afya nchini humo
Kulingana na gazeti la The Citizen nchini Tanzania,utafiti huo uliofanywa na...
Makaburi ya zamani ambayo yana majeneza kadha yaliyotengenezwa kwa mawe, na mkufu ulio na "ujumbe kutoka kuzimuni" vimegunduliwa nchini Misri.
Ugunduzi huo umefanywa Minya, kusini mwa Cairo. Makaburi yaliyogunduliwa ni ya zaidi ya miaka 2,000 iliyopita na shughuli ya ufukuzi inatarajiwa...
I am getting crazy and confused. This is what is happening inside Syria as reported by
ZEINA KARAM (Associated Press-AP) from BEIRUT (Lebanon)
As Syrian President Bashar Assad and his allies push toward final victory and the fight against the Islamic State group draws to an end, new fronts...
Bwana mmoja alikwenda kutembea ukweni kwake. Alipokelewa kwa upendo baada ya chakula cha usiku alipewa chumba cha kulala. Ilipofika usiku wa manane alitoka kwenda kujisaidia. Taa zimezimwa na hakujua ni wapi pa kuwashia na kwa bahati mbaya akapamia vyombo vya chakula sebleni. Kipindi anajaribu...
Oct 26, 2017
by Cindy Wooden, Catholic News Service
Vatican
20171026T0936-0011-CNS-POPE-REFORMATION-SCOTLAND.jpg
Pope Francis accepts a gift from the Rev. Derek Browning, moderator of the general assembly of the Church of Scotland, during an audience at the Vatican Oct. 26. (CNS/L'Osservatore...
Oct 26, 2017
by Cindy Wooden, Catholic News Service
Vatican
20171026T0936-0011-CNS-POPE-REFORMATION-SCOTLAND.jpg
Pope Francis accepts a gift from the Rev. Derek Browning, moderator of the general assembly of the Church of Scotland, during an audience at the Vatican Oct. 26. (CNS/L'Osservatore...
UPO KUNDI GANI? ******************
Leo naomba nitoe darasa dogo ambalo pengine linaweza kuwa geni kwa wengine... Lakini wale walionisoma katika Kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi hawatalishangaa darasa hili bali watapokea madini mapya tu akilini mwao.
Katika maisha ya kuhangaika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.