While "some" Tanzanians are busy campaigning for the incumbent party to remain in power, CPI continue to go up affecting their everyday life. It is amazing how Some of my fellow country men do not learn.....CCM must go
National Beureu of Statistics indicates Annual Headline Inflation Rate for...
Lowassa amekuwa mwanasiasa mkongwe kwa umri wake ndani ya CCM, akizishika nafasi kadhaa ndani ya chama na ndani ya serikali ya CCM. Aliaminiwa wakati wote hadi alipoteuliwa nafasi ya waziri mkuu na kupitishwa na wabunge wengi wa CCM kwa mtindo wa Ndiyoooooooo.
Kwabahati mbaya mwanasiasa huyu...
BY APOLINARI TAIRO, ETN CORRESPONDENT, TANZANIA | JUN 30, 2013TANZANIA (eTN) -
Police vans and city authority officials are scattered all over in most key places of Dar es Salaam city, supervising cleanliness on preparations to welcome the American President who jets in this Monday.Ranked...
Mimi sina maneno mengi, nataka muangalie picha hizi kisha mtakachokiona mkitafakari.
Kinana anawanunua wazee waliokuwa awanachama wa CHADEMA.
Weka mbali na Tembo anajua biashara sana huyu!
Hapa wazee wanafurahia mauzo ya kadi za CHADEMA.
Angalia nyumba kabisa ya picha hiyo......kuna nini?
Mpambano wa Dr Kigwa na Bashe katika kinyanganyiro cha uwakilishi wa wilaya ya Nzega kwenye halmashauri kuu ya CCM umechukua sura mpya jioni hii baada ya Dr Kigwangalla kumtishia kwa bastola bwana Bashe ili asirudishe fomu.
Habari ndo hiyo, more to come.
wanasiasa wa CCM Tabora kwa matumizi ya...
Bush: Na kule pia nichukue?
Kikwete: Wewe bana, sijui huoni, hata mapontoni yale we chukua tu!
Bush: Asante sana
Kikwete: Usiwe na wasiwasi, unawaona na wale wakwerre kuleee, walee, watakusaidia kwenye research zako.
Nakumbuka Bw, Nape alikwenda kwenye Kituo cha redio cha Clouds wiki chache zilizopita, na akasema posho ya wabunge inayoongezeka sio agenda ya CCM wala hakubaliani nayo. Natumaini alikuwa anaongea kama:
1) Kiongozi wa CCM
2) MwanaCCM ambaye ni kiongozi
Alisema pia kwamba hakubaliani na Mh...
Waziri Mwamri amewawakia mkurugenzi na viongozi wengine wa halmashauri ya wilaya ya Chato kwa madai ya kutafuna fedha za miradi ya zahanati na josho zaidi ya 60million.
wapi Maghufuli sasa................yupo busy na ya wenzake wakatio kwake kunaungua!!!
source: TBC taarifa ya habari.
Wakuu, naomba msaada hapa, I cant get access to internet kwenye Blackberry........linawezekana ku-configure hii kitu nipate mobile internet bila kulipia package za mwezi za blackberry??
Please.......I will real apprecite......natumia Airtel line.
wapwaz, binamuz, ladies and gentleladies,
Nawatakia heri na baraka tele katika sikukuu hii ya xmas. mkafurahi kwa jinsi mlivyopanga, hata jambo baya lisitokee miongoni mwenu.
Kuchelewesha kutangaza matokeo katika mikoa hiyo ni dalili za wazi kuwa CCM wanataka kuchakachua. Wananchi wamepata hasira sana mpaka sasa, wanaonekana wapo tayari kwa lolote, iwapo FFU wanakuwafukuza au kuwapiga mabomu ya machozi, yatakayotokea baada ya hapo CCM itawabidi watoe maelezo kwa...
Hili lilikuwa swali la MMKJJ kwa CHADEMA November 2009!!
Naona MMKJJ mahesabu yake hayakuwa sawa!! kama anatumia kigezo cha KUFANYA NINI, Namuuliza, CCJ imefanya nini mpaka tuipe dhaman aya kuongoza nchi???
Mbona kimwa mkuu? au mnajipanga kumshtaki Msajili wa vyama?
Au mpo mezani mnashughulikia ushauri wa Mzee Mtei?
Sisi wapenda mabadiliko/mapinduzi ya kweli tunawasikilizia,
Taafaadhali isije kuwa decoy mkuu!!!
Nikiwa mdogo, mjomba wangu aliwahi kuniuliza, ninapenda kifaa gani kizuri cha muziki? mimi kwa kuwa nilipenda filimbi nikasema filimbi ndo kifaa kizuri, akaniuliza kwa nini? nikasema kwakuwa kinatoa milio tofauti kwa nyimbo tofauti.
Mjomba akaniangalia usoni, akaniambia, hiyo ni milio tofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.