Dear boss,
I'm not coming for work tomorrow.
I was run over and almost died. I will return for work after the Easter holiday.
Please find attached the CCTV footage of the accident. I'm alive by a miracle.
Wadau salamu kwa wote,
Rejea kichwa cha habari,
Mwenyekiti wa kijiji cha Kimele amekuwa jipu lililoiva. Ni hivi huku kuliletwa mradi wa umeme ambapo mwisho ilikuwa tareh 26 feb uwe umekamilika, ila hadi saivi vijiji vinavyotuzunguka wameshakamilisha imebaki Kimele tu.
Kinachosikitisha ni...
Salamu kwa wote,
Jamani nilikuwa naomba usaidizi wa kimawazo kuhusu hii ishu. Apo juzi kati katika pitapita zangu mtaani nikiwa napita njia flani nikakuta watu wamefunga njia nikawapigia honi wapi wakakataa kutoka ikabidi niwasogezee gari hadi karibu yao.
Ndipo walipotoka ila baada ya...
Wadau wenye subaru jijini Dar es salaam na mikoa mingine napenda kuwakaribisha SUBARU AUTOPARTS duka linapatikana kariakoo mtaa wa swahili\rufiji opp Dallas hotel.
Tunadeal na subaru service and suspension parts.
kwa maswali zaidi comment
wadau wenye subaru jijini Dar es salaam na kwingineko,nimefungua duka la spare za subaru.
Napatikana kariakoo mtaa wa swahili\rufiji opp Dallas hotel(zamani AM hotel)
wote mnakaribishwa
Natanguliza salamu,
Mwanajf mwenzenu nimefungua duka la spares za magari.
Nadeal na Subaru,Toyota(altezza).
Napatikana k'koo mtaa wa swahili/rufiji.
Karibuni woooote!!
habari zenu wadau,
Nina mwanangu umri mwaka 1miezi8 ambapo ameanzisha mfumo mpya wa chakula. Anaamka saa kumi na moja na nilazama ale ukimpa vya watoto hataki kabisa anataka kipora hadi saiv imekuwa routine yake.
Je ni sahii mtoto km huyu kula kiporo au itamdhuru kiafya?
natanguliza shukrani...
Heshima kwa wrote,
Mimi nimesomea forensic science bt toka nirudi nchini imekuwa ngumu sana kupata ajira ina maana tz bado tuko nyuma sana kwenye mambo ya investigation?
Heshima kwa wote,
Nina shida gari yangu imepasuka difu so nimetafuta mpya au used hapa arusha bt nimekosa so km kuna mtu anaweza kuipata ebu ni pm
Gari yenyewe ni Subaru forester
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.