Search results

  1. dhk1

    Wikiendi

    Wadau wikiendi mnaanzia wapi
  2. dhk1

    Boss wangu

    Dear boss, I'm not coming for work tomorrow. I was run over and almost died. I will return for work after the Easter holiday. Please find attached the CCTV footage of the accident. I'm alive by a miracle.
  3. dhk1

    Jipu katika kijiji cha Kimele

    Wadau salamu kwa wote, Rejea kichwa cha habari, Mwenyekiti wa kijiji cha Kimele amekuwa jipu lililoiva. Ni hivi huku kuliletwa mradi wa umeme ambapo mwisho ilikuwa tareh 26 feb uwe umekamilika, ila hadi saivi vijiji vinavyotuzunguka wameshakamilisha imebaki Kimele tu. Kinachosikitisha ni...
  4. dhk1

    Kuna dhamana hapa, na adhabu gani waweza kupewa?

    Salamu kwa wote, Jamani nilikuwa naomba usaidizi wa kimawazo kuhusu hii ishu. Apo juzi kati katika pitapita zangu mtaani nikiwa napita njia flani nikakuta watu wamefunga njia nikawapigia honi wapi wakakataa kutoka ikabidi niwasogezee gari hadi karibu yao. Ndipo walipotoka ila baada ya...
  5. dhk1

    Subaru..

    Wadau wenye subaru jijini Dar es salaam na mikoa mingine napenda kuwakaribisha SUBARU AUTOPARTS duka linapatikana kariakoo mtaa wa swahili\rufiji opp Dallas hotel. Tunadeal na subaru service and suspension parts. kwa maswali zaidi comment
  6. dhk1

    Subaru

    wadau wenye subaru jijini Dar es salaam na kwingineko,nimefungua duka la spare za subaru. Napatikana kariakoo mtaa wa swahili\rufiji opp Dallas hotel(zamani AM hotel) wote mnakaribishwa
  7. dhk1

    Gari linahitajika

    wasalaam nahitaji noah bajeti yangu mil 5 ila iwe kwenye hali nzuri
  8. dhk1

    Biashara

    Natanguliza salamu, Mwanajf mwenzenu nimefungua duka la spares za magari. Nadeal na Subaru,Toyota(altezza). Napatikana k'koo mtaa wa swahili/rufiji. Karibuni woooote!!
  9. dhk1

    best movies

    Wajameni am just bored hadi narewatch battleship ebu nisaidie movie mpya iwe action.. Nangojea..
  10. dhk1

    nisaidieni wadau

    habari zenu wadau, Nina mwanangu umri mwaka 1miezi8 ambapo ameanzisha mfumo mpya wa chakula. Anaamka saa kumi na moja na nilazama ale ukimpa vya watoto hataki kabisa anataka kipora hadi saiv imekuwa routine yake. Je ni sahii mtoto km huyu kula kiporo au itamdhuru kiafya? natanguliza shukrani...
  11. dhk1

    nahitaji fremu

    natafuta fremu maeneo ya maeneo ya morogoro rd km unayo nipm
  12. dhk1

    msaada wa haraka

    Jamani mmeshindaje, Sasa nilikuwa naomba mnielekeze jinsi ya kutengeneza sabuni za mche!
  13. dhk1

    AICC hospital

    Yani hii hospital majanga receptionist wananyodo km nini watu tuko foleni masaa cjui madoctor hawana au inakuwaje
  14. dhk1

    Forensic science

    Heshima kwa wrote, Mimi nimesomea forensic science bt toka nirudi nchini imekuwa ngumu sana kupata ajira ina maana tz bado tuko nyuma sana kwenye mambo ya investigation?
  15. dhk1

    msaada wa haraka

    Heshima kwa wote, Nina shida gari yangu imepasuka difu so nimetafuta mpya au used hapa arusha bt nimekosa so km kuna mtu anaweza kuipata ebu ni pm Gari yenyewe ni Subaru forester
  16. dhk1

    subaru forester

    Ipo Subaru forester ya mwaka 2002,iko kwenye hali nzuri napatikana Arusha. Bei kuanzia 9.5m
  17. dhk1

    Ajali mbaya ya noah

    Ajali mbaya ya Noah imetokea maeneo ya mbuga nyeupe, ilikuwa inatoka Arusha inaelekea Longido, imejuruhi vibaya ntaendelea kuwapa updates.
  18. dhk1

    Hodi...

    Hallo people!!! Can i stay??...
Back
Top Bottom