I suggest hii part isiwepo ni ya kizamani sana, now days mission zimerahisishwa ndio mana hata ndege zinatumwa bila rubani,,
Muvi za kijamaa ndio zilikuwa na hayo mambo,
Ndoto hii binafsi niliota, na mpaka mwaka naota nilikuwa Nina miaka mia nne na ushee, Tena kwa ufafanuzi kabisa kwamba Duniani kwa mara ya kwanza umekuwepo kuanzia mwaka huu.......
Mpaka yakukute ndio utaelewa , kuhama seat ni jambo la kwanza siku Ile, ila Kuna signs nyingi ambazo niliziona sikujua mana yake mpaka nilipokuja kushtuka nazinduka kutoka usingizi wa kuzimia, na sijaandika hapa
Sikujua namna nilivyohama seat iliyoondoka na watu karibia wote baada ya ajali, Mungu yupo , Tena ana uwezo kuliko akili zetu
Mungu awalaze mahari pema peponi wale ndugu, they were the best compared to me, sijajua kwa Nini nilibaki, ila Mungu huyu anajua sababu,
Kama anasoma comment hii huyu...
Una ujumbe mzuri ila haujaendana na jimmy, maana mi naona Bado anakula Bata tu, najua hata huku jumba la vibabu kaenda na walinzi na wapiga vinubi,. ,, Ujumbe wako unafaa kwa babu zetu huku bongo, umri huo unakuta kunuka mkojo kawaida tu, kwanza alishaacha kuvaa ata suluali ni shuka tu...
Kwa Nini mnapenda taarifa za watu kabla hamjasema zenu!??
Binafsi Huwa naonaga ni kama unawachezea akili wanaokuja kukujibu yakwao wakati hawajui yakwako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.