Search results

  1. NDESSA

    Msaada: Muda gani ni mzuri kwa watoto kulala?

    Habari Wakuu, Kwa watoto wa chini ya miaka 5 mathalani mtoto wa miaka 3 ninachojua kwa kawaida inatakiwa alale mchana. Ninachotaka kujua kutoka kwenu ni kuwa hata kama mtoto amelala mchana je, kwa masaa yetu ya Tanzania ni muda gani mzuri anatakiwa alale usiku, mfano kama ni saa 1, saa 2, saa...
  2. NDESSA

    Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

    Ndo ikose thamani kisa mwanamke mmoja asie na maadili?
  3. NDESSA

    Umeshakutana na shida gani kwenye gari lako upewe suluhisho?

    Mkuu ulirekebisha? Nina same issue kwa Rav 4 Old
  4. NDESSA

    Mke wangu hapendi kufanya mapenzi

    Duuh ni hatari mkuu
  5. NDESSA

    Mke wangu hapendi kufanya mapenzi

    Namkaza,hilo halijawahi kuwa tatizo
  6. NDESSA

    Mke wangu hapendi kufanya mapenzi

    Haanzi ikitokea ni mara moja moja sana labda niwe nilisafiri nikarudi. Ila tukkwa wote kwa muda mrefu hana mzuka hata nikimuanza,so sometimes ananipa kunilizisha tu hakuna ushirikiano ananipa nirikike alale zake.
  7. NDESSA

    Mke wangu hapendi kufanya mapenzi

    Hakua hivyo mwanzo. Njia za uzazi wa mpango ametumia mkuu inawezekana zimechangia tatizo. Je akiacha kuzitumia hormone zitarudi kawaida?
  8. NDESSA

    Mke wangu hapendi kufanya mapenzi

    Najitahidi kutunza,watoto wapo.
  9. NDESSA

    Mke wangu hapendi kufanya mapenzi

    Assnte sana mkuu.
  10. NDESSA

    Mke wangu hapendi kufanya mapenzi

    Najaribu kufuatilia bado sijagundua hilo jambo
  11. NDESSA

    Mke wangu hapendi kufanya mapenzi

    Wangu ameshazaa
  12. NDESSA

    Mke wangu hapendi kufanya mapenzi

    Habari wakuu, Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo. Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe. Mimi sio mtu wa...
Back
Top Bottom