Search results

  1. Kituko

    Je, Maji ya hizi Mvua zinazoendelea ni salama?

    Habari Ma GT wote wa JF, Kutokana na shida ya maji iliyopo kwenye nchi yetu. Watu wengi (mimi nikiwa mmojawao) waliamua kwa njia moja au nyingine kujichimbia visima vya kuvunia maji ya mvua kwa matumizi mbalimbali ikiwemo kuyatumia kwa kunywa baada ya kuyatreat kwa dawa za kusafisha maji...
  2. Kituko

    Swali Fikirishi: Je Tanzania tunapambana na nani DRC (EA)?

    Kwa majonzi leo tumewaaga Ndugu zetu, Watanzania wenzentu (Hamad Haji Bakari, Chazil Khatibu Nandonde, Idd Abdallah Ally, Juma Mossi Ally, Ally Haji Ussi, Pascal Singo, Samwel Chenga, Deogratius Kamili, Mwichumu Vuai Mohamed, Hassan Makame, Issa Mussa Juma, Hamad Mzee Kamna, Salehe Mahembano...
  3. Kituko

    Kwanini Wanajeshi wa Tanzania wanashambuliwa DRC?

    Kwa kweli naongea kwa masikitiko makubwa sana, hivi kweli Wacongo wanaweza kuwauwa Watanzania kama hivi?, jibu ni BIG NO, Watamzania tunaheshima kubwa sana Congo, sisi ndio ndugu wa damu pekee kwa waCongoMan, nimezunguka Congo, hasa niseme East Congo, Nord Congo na Katanga province, kote huko...
  4. Kituko

    Msiba wa Mwanamuziki Shaban "Wanted" Yohana

    Tasnia ya Muziki imempoteza Gwiji wa kucharaza gitaa la Solo, Shabani Yohana Wanted, kilichotokea juzi hapa Gaborone Botswana, alikuwa mgonjwa kwa muda mrefu, na siku kama tano zilizopita alikuwa haonekani baada ya kumtafuta hapa na pale bila mafanikio ndio wazo la kuvunja kwakwe lilifanyika na...
  5. Kituko

    Mzee Kungubaya ametutoka

    Mwanamuziki wa zamani Mzee Kungubaya, amefariki jioni hii, alikuwa amelazwa kwa shida ya Pressure na baadae aligundulika kuwa na tatizo la Figo Kwa wale wasikilizaji wa zamani wa RTD kulikuwa na kipindi cha Salamu kwa Wagonjwa, ule wimbo wa kuanzia na kumaliza kipindi ulitungwa na kuimbwa na...
  6. Kituko

    Mt KILIMANJARO

    Hii picha ilinisikitisha sana, nimeipiga Juzi tu katika hilo eneo la Makuti (Zimbabwe) ni umbali wa Km 63 kutoka Chirundu border post (Border ya Zambia na Zimbabwe) Katika hicho kibao Mlima Kilimanjaro unaonyeshwa upo umbali wa 2772km kutoka hapo Makuti, na unaonyeshwa kuwa huo mlima upo Kenya...
  7. Kituko

    Nchi mpya zinazotarajiwa Afrika

    Baada ya Sudan ya Kusini kujitenga kutoka main Sudan na kuongeza idadi za nchi katika bara la Afrika na duniani kwa ujumla, inaonekana inaweza kuwa chachu kwa baadhi ya majimbo ama nchi kumegeka, inaweza kuongeza nguvu kwa nchi zilizokuwa kwenye maelekeo huo na pia inawweza kuwa chachu kwa...
  8. Kituko

    Moyo ukikataa unaweza sema kwa mwenzio?

    Wanajamii naomba tuijadili hii changamoto kwa kina Hivi kuna mapenzi ya kujilazimisha kupenda? Na kama umejigundua ulipenda kusiko sahihi unaweza kumwambia mwenzio waziwazi kuwa unajilazimisha tu? Nauliza maswali haya kutokana na kisa nilichosimuliwa na mtu wangu wa karibu sana (Mars)...
  9. Kituko

    Wanaume uwezo umeshuka?

    Nimejiuliza sana hiki kitu na nikashindwa kupata majibu sahihi na nikaona nishee na wanaJamii wenzangu labda kuna jibu ama maelezo sahihi Weekend iliyopita kwenye mida ya saa tano asubuhi tulikuwa kwenye Ka-bar maeneo ya home, watu wanakamata supu na kupata mojamoja, mara akaingia jamaa na...
  10. Kituko

    Kwanini Lowassa anatolewa Sadaka?

    Najaribu Kuangalia kiundani, ni sababu gani kubwa ya Lowasa na wenzie kuzalilishwa na chama chao, huku mwenyekiti wake ambaye pia ni swahiba wake mkubwa akiwa kimya?, nasema kuzalilishwa na chama chake (nje ya CCM ni hatua iliyopaswa kufanywa na hata vyombo vya sheria vilipaswa...
  11. Kituko

    Baada ya Panga (Bani) la Robot

    Nimekaaa na kujiuliza Huu ugeni Mkubwa tulionao hapa JF kwa siku mbili hizi, ni wageni wapya kwa maana ya upya au ni walewale wamekuja na ID mpya baada ya Panga la INVs?
  12. Kituko

    Mapigo Saba

    Kwa wale waumini wanalijua hili, kila unachowafanyia wenzio Mungu anakulipa hapahapa Duniani, na anakupiga kwa mapigo ya nguvu SABA, na utaratibu ni kuwa unapigwa pigo moja na kama haujasimama na kuomba radhi/kukiri makosa yako ili uliowafanyia wakusamehe, Pigo lingine linakujia ambalo ni la...
  13. Kituko

    Elections 2010 Sikuwa na Bahati hii 1961

    Mwaka 1961 wakati Tanzania inapata uhuru nilikuwa sijazaliwa, hivyo nilikuwa sijuhi nini maana ya kutafuta uhuru na transition ya kutoka utawala mmoja kwenda mwingine nilikuwa sijuhi ikoje, lakini leo nachelea kusema ninashuhudia nchi yangu ikikombolewa kwa mara ya pili, baada ya kutekwa na...
  14. Kituko

    Elections 2010 JF mmejiandaa kwa hili?

    kutokana na mwenendo wa kiasasa unavyoelekea kuna kila dalili ya wizi wa kura kutokea, na kwa kipindi hichi kifupi habari za njama hizo ya wizi zimekuwa zikilipotiwa humu (JF), kwanza na baadae kwenda sehemu zingine, kwa maana hiyo JF inaonekana ni kama kituo muhimu cha kupatia info zote...
  15. Kituko

    Elections 2010 FEAR Of UNKNOWN DESTINATION

    Akijibu swali la Mwanachama mfu wa CCM (A, Lwaitama), Dr Slaa alisema, kisaikolojia hiyo ni hulka ya binadamu kuogopa asipokujua, lakini ni kweli watu hawakujuhi huko? Miongoni mwa sifa kuu za binadamu ni usahaurifu, na hiyo ndio inayompa matumaini makubwa sana binadamu ile hali ya kusahahu...
  16. Kituko

    Elections 2010 Kwa Mh Mengi na ITV (IPP MEDIA)

    Napenda kutoa shukrani zangu kwa Bw Mengi na timu nzima ya ITV, kwa kuweka historia ya mapambano/ demokrasia Tanzania kwa kuweza kutoa coverage ya 3hrs kwa CHAMA CHA UPINZANI, hata kama ni kulipia lakini kupata huo muda ni kama ndoto, lakini kwa hapo mwanzo ilikuwa ni vigumu, na kwa taarifa...
  17. Kituko

    Elections 2010 Kitakachotokea kabla ya 31 oct

    Hali ya JK na CCM kisiasa kwa ujumla wake si nzuri na dalili zote zinaonyesha anguko kuu la CCM, silaha ya mwisho atakayotumia JK na CCM ni ya kuhahirisha Uchaguzi mpaka mwakani, miongoni mwa mbinu zilizopo ni hii ya JK Kujiangusha siku chache kabla ya uchaguzi na tutaelezwa hali yake si nzuri...
  18. Kituko

    Elections 2010 Tido ana kesi ya kujibu

    Kwa aliyeangalia Taarifa ya habari ya jana ya TBC! ya saa mbili na saa nne usiku, basi moja kwa moja atakubaliana na mimi kuwa TIDO MHANDO, ana kesi ya kujibu, Tido ana kesi kesi ya kujibhu ambayo imefanana sana na ile ya Mramba, MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA, Matumizi mabaya ya Madaraka sio...
  19. Kituko

    Dk Slaa atakuwa rais wa wapi?

    Hoja ama swali langu linabase kwenye hii sera ya CHADEMA ya kuunga mkono serikali tatu, yaani ya Bara, Ya visiwani(Zanzibar) na ile ya Shirikisho (Umoja), sasa ikitokea Chadema wakachukua nchi na hii sera ikawa kwenye action, 1) Dk Slaa atakuwa raisi wa nchi ipi?, 2) na kwa nchi hizo mpya...
Back
Top Bottom