Search results

  1. Jamiix

    Wizi wa Halotel, TCRA mko wapi?

    Kuna hili tatizo naomba wahusika na mamlaka za Serikali zilishuhulikie,mimi natumia mtandao tajwa hapo juu,wana huduma wanazotoa bila idhini ya mtumiaji,huduma kama HALOWIN,BBC etc,wanachokifanya wanakuingiza bila idhini yako,wanaambatanisha/kukutumia jumbe zisizo na maelezo ya kutosha,ama...
  2. Jamiix

    Nini kifanyike tuweze kushindana kielimu na majirani zetu Afrika Mashariki?

    Kulikua chuo kimoja cha UNIVERSITY OF EAST AFRICA, kikagawanyika na kutoa vyuo vitatu(3),University of Dar es salaam, University of Nairobi na Makerere University, pia vyote vinaendeshwa na kusimamiwa na Serikali. Vya wenzetu vina dahili na kutoa wanafunzi mara 2.5. 1.Je ni maandalizi mabaya ya...
  3. Jamiix

    Exim Bank (T), kulikoni wanatumia namba za Kenya?

    Naomba kujuzwa ni sahihi bank hii kutumia namba za Kenya katika branch zao zote kama inavyoonekana kwenye website yao?
  4. Jamiix

    TBS na Wizara ya Afya, Chupa za bia vifuniko vina kutu

    Wanabodi, Kuna hili nimeliona muda mrefu la bidhaa za TBL hasa baadhi ya vinywaji vyao(Bia), sana sana bia aina ya Safari, Kilimanjaro.., kila ukifungua mfuniko husika (kifuniko, kizibo) unakua na kutu nyingi upande wa ndani na sehemu zinazoshika chupa ambayo hujaa pia kwenye chupa, ni zaidi...
  5. Jamiix

    Learn how to set multiple whatsapp account on single android handset

    NOTE: INAHITAJI ADVANCE ANDROID USER, ROOT SIMU YAKO (ATAKAE TAKA JINSI YA KUROOT ANI PM NA DETAILS ZA SIMU YAKE HASA KERNEL VERSION AMA BASEBAND) UKIROOT KWA MAFANIKIO DOWNLOAD 2Lines for WhatsAPP KUTOKA PLAY STORE,ALAFU GRANT SUPER USER ACCESS, BAADA YA HAPO CONFIGURE HIYO APP BY ADDING...
  6. Jamiix

    Wanafunzi waandamana

    WanaJF Nimekutana na wanafunzi wengi sana wakiandamana na mabango yaliyoandikwa ' HATUMTAKI MWALIMU MKUU ' wakielekea kwa mkuu wa mkoa,wamesimamishwa na Polisi na FFU eneo la Sakina kwa Idd,Arusha Wapo viongozi wakubwa wa polisi na defender zao wanawazuia,vijana wamechachamaa...
Back
Top Bottom