Search results

  1. Mtu Mbadi

    Ulishawahi jutia kukosa namba ya mtoto mzuri ambae amekuvutia kwenye safari ndefu za mabasi?

    Binafsi mimi ilikuwa 2022 hiyo natoka zangu Dodoma kuelekea Kibondo Kigoma, basi apo mjini Dodoma nikapanda SATCO inayoelekea Bukoba ili nikashukie Nyakanazi theni niunge na Casablanca (Wenyeji wa hii mitaa wanazijua hizi basi moto wake) mpaka Kibondo. Sasa picha linaanza kweny siti nilipata...
  2. Mtu Mbadi

    Natafuta nafasi ya Internship NEMC Kanda ya Kati

    Wakuu habari, Nimegraduate Bachelor of Science in Forestry 2022, na kwa sasa nipo Dodoma najitafuta. Natafuta mtu yeyote anaeweza nisaidia kupata nafasi ya kufanya Internship kwenye ofisi ya NEMC Kanda hapa Dodoma. Anaeweza nisaidia nitamfata PM. Asanteni
  3. Mtu Mbadi

    Natafuta sehemu ya kujitolea. Nimehitimu Bachelor of Science in Forestry mwaka 2022

    Wakuu habari za humu, Mimi ni mhitimu wa Bachelor of Science in Forestry mwaka 2022, kwa sasa nipo Dodoma , naomba msaada kwa yeyote anaeweza nisaidia kupata sehemu ya kujitolea, location yeyote nipo tayari kuja. Mawasiliano yangu 0683877594
Back
Top Bottom