Search results

  1. D

    Ofisi za Sao hill Tegeta hadi Bunju

    Wakuu samahani, nauliza kama Sao hill wana ofisi zao kuanzia tegeta hadi Bunju. Nahitaji kununua mbao treated baada ya pasaka na nimeona watu wanawasifia sana kuwa wanaaminika kuliko wengine ambao wanaziwekea rangi ya ukiri wakidai ni treated. Kama wanazo naomba mtu anielekeze ni wapi. Asante
  2. D

    Kuna anayejua mbadara wa voice Q kwa ajli ya windows

    Kuna mtu yeyote ambaye anajua software yoyote ambayo inaweza kufanya kazi kama voice Q inayorun kwenye windoes na inatoa features za dubbing kama voice Q
  3. D

    Dozy Mmobuosi - Mnaijeria aliyetaka kununua Sheffield United kwa kujifanya bilionea

    Kama kuna watu wamesoma na wanajua mambo ila wanatumia elimu yao kutapeli ni wanaija. Dozy ni mnaija anayedai kuwa ni CEO na Mwanzilishi wa Tingo Mobile. Jamaa alianzisha tingo mobile ikiwa na model ya kuwakopisha wakulima wa naijeria smartphones, ila baadaye akaanzisha soko la kidijitali...
  4. D

    CEO wa Open AI ambayo inamiliki Chat GPT kaolewa na dume jenzake

    Dunia iko kasi kweli. Sam Altman ambaye ni CEO wa open AI kafunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni dume mwenzake. Sam ambaye katika mahojiano fulani alisema wazo la Chagpt alilipata akiwa kwenye msongo wa mawazo wa kuachwa na boyfriend wake wa awali ambaye alidhani atamuoa. Haya mambo haya baada ya...
  5. D

    Desktop recording software

    Wakuu habari, Nataka kuunda video ambayo nitakuwa nikitoa maelekezo kupitia mic huku nikirekodi screen kwenye pc ya kile nikachokifanya. Ni software gani inayoweza kunisaidia kufanya hilo ambayo haina watermark na output yake ikawa ni mp4. Chief-Mkwawa
  6. D

    Nimeona review ya Honor Os ni balaa

    Katika pita pita zangu mtandaaoni, nimekutana na review ya device za Huawei na Harmony OS kwa who is the boss. Aisee Harmony OS ni kali sana, hasa devices zake zinavyopair na kuinteract yani ni instantly. Mfano unasikiliza mziki kwa kutumia wireless earpods zikiwa connected kwa simu halafu mara...
Back
Top Bottom