Search results

  1. M

    Maandalizi yako kipimo cha Mafanikio yako

    Utangulizi Maandalizi magumu Mafanikio makubwa, nikiwa nasoma habari kadhaa kwenye maandiko matakatifu nikajua kweli maandalizi magumu Yana Mafanikio makubwa Ushuhuda wa kwanza Habari ya Sporah binti WA kuhani wa midiana ,huyu Dada katika ujana wake alikutana na changamoto nyingi Sana katika...
  2. M

    Usiache kazi Kwa sababu unataka kumtumukia Mungu

    Utangulizi Mara ya Kwanza mkristo unapopata Neema ya kuhokoka , Roho Mtakatifu anaingia ndani yako na pale anapoingia ndani yako kuna kiu ya kutaka kumjua Mungu Sana inaingia ndani yako Unakuwa na kiu kubwa Sana ya kumjua Mungu na wengine Kwa kukosa msaada wanajikuta wameingia kwenye njia...
  3. M

    Fanya Mambo aya kabla ya usahili

    Utangulizi Idadi ya watu ambao wanaomba kazi , kila mwaka imekuwa ikiongezeka mwaka Kwa mwaka , na kila mwaka vyuo vinatoa wataalamu WA Aina mbalimbali Watu wengi awajui kwamba nafasi ya ajira ni fursa ya Mungu au miungu kutawala ofisi usika, umewai kusoma habari za Daniel , alipoitwa...
  4. M

    Ukitegemee kupata connection za Wanadamu

    Utangulizi Katika jamii Yetu ni kweli sio rahisi ukafanikiwa pasipo kupata MTU WA kukushika mkono, lakini ni kosa kubwa Sana la kuweka tumaini Kwa Mwanadamu Ni kweli tunategemeana na tunapaswa kuishi Kwa kueshimiana na kumwona mwenzako ni Bora kama wewe na vitu kama hivyo Lakini katika Mambo...
  5. M

    Sifa za kuoa au kuolewa

    Utangulizi Nimekua nikisoma habari mbalimbali katika mitandao ya kijamii, katika Jambo ambalo linanipa maswali ni mabadiliko ya vigezo vya kuoa au kuolewa Wakati nikiwa kijana mdogo kuna maswali yalinisumbua sana, mana mtaa ambao nilikuwa naishi ulikuwa na nyumba za watumishi WA umma (magorofa...
  6. M

    Mungu husema na Watu

    Utangulizi Miaka 12 iliyopita wakati nikiwa shuleni Niko kwenye sehemu ya chakula najiandaa Kwa ajili ya ibada ya jioni , Kwa mara ya Kwanza nilimskia Mungu akisema Nami wazi wazi kwakweli nilishangaa Sana, Mungu alisema Nami juu ya tukio ambalo liko mbele yangu. Nakumbuka katika ibada hiyo...
  7. M

    Mambo ya Kuepuka Mwaka 2024

    Sio kila Neno ambalo unaambiwa na Mtumishi au rafiki yako limetoka Kwa Mungu Utangulizi Watu wengi duniani Kwa sababu ya kusikiliza maneno ya watu wamepoteza kesho Yao na wengine wamepoteza Maisha Yao kabsa Sio kwamba kusikiliza ushauri wa watu ni Vibaya , hapana sio kila ushauri unaopokea...
  8. M

    Mambo ya kuhepuka Mwaka 2024

    Utangulizi Mwaka 2023 kulikuwa na Mambo mengi ambayo yalitokea na mengine yalinivunja Moyo na kuna mahali nilifika kidogo kidogo Imani ndani yangu ilianza kuondoka juu ya uaminifu wa Mungu Ile kwamba Mungu ajakupa kile ambacho umemwomba miaka Mingi usijaribu kupunguza heahima ya Mungu moyoni...
  9. M

    Kinachozuia watu kufikia Mafanikio yao

    Utangulizi Nilipokua naanza kusoma biblia kama neno la Mungu niliposoma kitu cha Kwanza kabsa juu ya Baba zetu Adam na Eva nilichojua kilichopelekea wao kufukuzwa bustanini ni kutokutii maelekezo ya Mungu ya kula tundra la mti wa ujuzi wa Mema na mabaya. Hata Leo ndivyp watu wengi wanaamini...
  10. M

    Kweli juu ya Pombe au Kilevi

    UTANGULIZI Historia ya maandiko na sayansi ya tiba inatuambia juu ya matumizi ya kileo kama tiba ya malazi ya tumbo etc Kitu chochote kinapotumika pasipo kihasi kinakuwa ni kileo, haijalishi ni kitu cha aina gani ? Neno la Mungu limesisitiza Sana juu ya kiasi 1 Petro 5:8 Mwe na kiasi na...
  11. M

    Umuhimu wa kuwa ndani ya mfumo

    UTANGULIZI Maisha ya mwanadamu yamefungwa ndani ya mifumo, hakuna kitu ambacho kiko nje ya mfumo, wakati Mungu anamuumba mwanadamu aliweka mifumo Kwanza Kabla ya kumweka mwandamu ili mifumo iweze kumsaidia mwanadamu kuishi ndani ya mifumo Matendo ya Mitume 17:26 Naye alifanya kila taifa la...
  12. M

    Silaa za Ulimwengu wa Roho

    Ulimwengu wa Roho ndio uliumbwa Kwanza Kabla ya ulimwengu wa Mwili, wakati Mungu anamuumba mwanadamu aliumba Roho Kwanza Kabla ya Mwili Wakati Mungu anaumba wanyama na miti na Vyote vinavyotambaa aliumba Roho Kwanza Kabla ya Mwili. Vita siku zote zinafanyika kwenye ulimwengu wa kiroho , na...
  13. M

    Hakuna Usalama Duniani

    Nje ya Yesu hakuna usalama , nje ya Yesu hakuna ulinzi , nje ya Yesu ni hatari nje ya Yesu kuna hatari nyingi hakuna Amani nje ya Yesu. Maisha Yetu nje ya Yesu ni kama tuko mawindoni, siku zote aduhi wetu shetani ni kuwinda uhai wetu , Maisha yetu hayatofautiana na wale wanayama walioko porini...
  14. M

    Nawezaje kujitoa katika mahusiano ya zamani?

    Katika pita pita zangu kwenye mitandao nimekuwa najiuliza maswali mengi pasipo kupata majibu, Jambo ambalo limekuwa najiuliza Kwa habari ya mahusiano hasa ya wanandoa na mahusiano ya kawaida. Kitu ambacho katika jamii kinakwenda kwa kasi sana ni watu kutamani mahusiano ya zamani (X-reationship)...
  15. M

    Jina lako na Hatima ya kesho yako

    Utangulizi Miaka ya 2000s kipindi kile cha wapenzi wa mpira wa Miguu tunakumbukumbu za mchezaji wa Brasil wakati huo alikuwa ni Ronaldo kwakweli alikuwa ni mchezaji mzuri Sana na kwakufanya vizuri kwa Brasil kulikuwa na mchango Mkubwa sana kutoka kwake Matokeo Yake wazazi wengi wakawa...
  16. M

    Heri ya Kuzaliwa Mke wangu Kipenzi

    Ni miaka 12 imepita Sasa toka nimalize masomo haikuwa rahisi baada ya miaka 4 ya masomo pale Dar es salaam Kwa Neema ya Mungu tukamaliza masomo Kwakweli haukuwa rahisi hasa kutokana na changamoto za hapa na pale, nakumbuka kuna kipindi niliona kama sitaweza kumaliza chuo kutokana na changamoto...
  17. M

    Mbinu za kushinda tamaa za mwili

    UTANGULIZI Maandiko matakatifu yanasema mwili wa mwanadamu hauwezi kumpendeza Mungu, maana mwili hauokoki na hauna ajenda za kwenda mbinguni ndio maana waufuatao mwili wamefarakana na Mungu Njia za Kuushinda Mwili Mithali 29:18 Pasipo maono, watu huacha kujizuia; Bali ana heri mtu yule...
  18. M

    Sababu ambazo zinapelekea mahusiano mengi kivunjika

    A. Kutokusamehe B. Kuwa na Matarajio yasiyo halisi C. Kutokuchukuliana madhahifu D. Kutokujua wajibu wako katika mahusiano E. Kipato Jambo la kwanza Kutokusamehe Kwakweli kuna kitu ambacho waganajiuliza inakuaje wanandoa wemeachana miaka 10 au 20 lakini ukikaa nao utaskia mmoja anasema...
  19. M

    Kanuni za Kupata Utajiri

    Kumbukumbu la Torati 8:17-18 Hapo usiseme moyoni mwako, Nguvu zangu na uwezo wa mkono wangu ndio ulionipatia utajiri huo. Bali utamkumbuka BWANA, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo. Utangulizi kanuni za...
  20. M

    Mungu wetu hajawai kuchelewa

    Ushuhuda Kuna Mdada mmoja alimaliza chuo miaka 4 imepita , baada ya kumaliza chuo Mambo yakawa Mambo, ameingia mtaani hakuna ajila akatafuta huku na Kule hakapata mahali pa kujishikiza Miaka ikaenda, mwaka WA Kwanza hakuna ajira , mwaka wa pili kapambana kila anapokwenda kwenye intervie Mambo...
Back
Top Bottom