Search results

  1. Chris makini

    Tatizo la kichwa kuwa kizito sehemu ya nyuma na kuhisi kizunguzungu inaweza kuwa ni dalili ya changamoto gani?

    Habari ndugu Wana jf. Natumaini nyie wazima wa afya Tena,niko hapa kuwaomba ushauri na uelewa juu ya tatizo hili la kichwa kuwa kizito sehemu ya nyuma bila kupoteza wakati Moja kwa Moja niende kwenye tatizo nina mdogo wangu wa kiume ana umri wa miaka 26 anasumbuliwa na kichwa kuuma na kuwa...
  2. Chris makini

    Je, MRI ni suluhisho la vipimo vya kucheki mishipa na tishu ndogondogo za mwili au kuna kipimo kingine tofauti na MRI?

    Habari, Wadau Mimi nina mdogo wangu aliteguka begi wakati anadaka mpira na kupelekea bega kushuka na kushindwa kubeba vitu swali langu amefanya vipimo cha MRI ya UTI wa mgongo kilingana na utaalamu wa daktari akijua maumivu yake yameanzia kwenye mgongo kusambaa kwenye mabega kwa madaktara...
Back
Top Bottom