Search results

  1. Ibnuyawar

    Spare parts Honda Crossroad

    Habar maboss poleni majukumu Spare za honda crossroad zipo dukan kwa sasa Nimeshusha 100pcs za shock up mbele jana na mpaka sasa zimebakia 20pcs nunua weka akiba kwa ajili ya gari yako maana zikiisha upatikanaj wake mgumu Kyb japan katoa lakin kazikosea juu kweny shaft mpaka upeleke...
  2. Ibnuyawar

    INAUZWA Spare mpya za Magari ya Kijapani

    Habari wana JamiiForums. Kijana wenu bado nipo na mitikasi ya kupokea nini unahitaji nikupe mawazo, ushauri na unachohitaji kulingana na mahitaj yako. Spare za magari kama Nissan, Toyota , Honda, Subaru, Mazda, Mitsubishi, hyundai, Suzuki. Biashara ya spare kwa sasa haipingiki imekuwa na...
  3. Ibnuyawar

    USHAURI: Mambo 10 Yatakayofanya Gari yako Idumu na Ibaki kwenye Ubora

    Habari wana Jf Zingatia haya kabla hujaamua kumiliki gari, au kama una gari basi endelea kuyazingatia yafuatayo ili pesa uliyotumia kuagizia gari yako isipungue kwa kasi. 1. Fanya Service/Matengenezo madogo na makubwa ndani ya mda. Matengenezo madogo namaanisha kubadiri oil ya injini na gia...
  4. Ibnuyawar

    Funzo muhimu sana kutokana na zama tulizopo hasa 21st century

    Kulikuwa kuna ndugu wawili mwanamke na mwanaume, lakini hawa ndugu walikua ni mayatima wazazi wao walishafariki. Sasa kwa bahati mzuri huyu wa kike akapata mume akaolewa na akabahatika mtoto mmoja wa kiume. Baada ya muda fulani pale kijijini pakatokezea ugomvi mkubwa, mpaka mume wake na...
  5. Ibnuyawar

    Jinsi ya kuwafanya watoto wasali bila ubishi wala ukumbusho

    Haya ni maelezo kutoka kwa dada mmoja. "Mwanangu alikuwa na umri wa miaka 12 na sala kwake ilikuwa kama mzigo mzito. Kuna siku moja nilimwambia asali na nikawa nina mchunguza. Alichukua busati na kulutupa kwenye sakafu. Nikamwuliza kama alisha sali, akasema NDIYO. Huwezi amini, bila ya...
  6. Ibnuyawar

    Ukifanya haya 7 kwa siku 30 bila Kudanganya utakuwa Usiyewezekana

    1. Zima simu yako kabla ya hujalala Wengi wanajiuliza kwanini Sipati Usingizi usiku wakati umeishika simu Mkono, Huna kitu cha Maana Zaidi ya kuscroll juu chini kama Mwendawazimu Kila Mtandao unaingia Kwa sababu una bando, UPUUZI! Zima simu ulale, unayemsubiri hakutafuti Leo 2. Lala Masaa 7+...
  7. Ibnuyawar

    Uliza chochote kuhusu spare za magari

    Habari ! Wana Jf Leo nimewaletea Uzi kuhusu Spare za magari Unamiliki Gari na gari yako ina changamoto ya aina yoyote Uliza bure na unapewa ushauri bure TAHADHARI [emoji91] Ewe mmiliki wa gari Kuwa makini na gari yako unampa fundi gani Kuna sakata La kuibiwa MASEGA Kipindi hiki gari inakosa...
  8. Ibnuyawar

    Sababu Nne(4) Kwanini Maisha Yanazidi Kuwa Magumu Kwa Wengine

    Kwa miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na wimbikubwa la watu linalalamika kwamba maishayamekewa magumu. Kwa sababu hii pia watuwengi wamekuwa wakikata tamaa na kuonamaisha hayafai ni bora waishi hivyo hivyo ilimradisiku ziende. Malalamiko ya maisha kuzidi kuwa magumuyamekuwa yakisikika sana...
  9. Ibnuyawar

    Mbinu mojawapo inayotumika kwenye wizi wa mtandao

    *MBINU MOJAWAPO INAYOTUMIKA KWENYE WIZI WA MTANDAO* Tafadhali, naomba ku-share nanyi mbinu mojawapo inayotumiwa na wahalifu katika kufanikisha wizi kwa njia ya mtandao. Huu ni uzoefu nilioupata baada ya kufanya mahojiano na mtuhumiwa mmojawapo wa kesi za aina hii. Katika tukio husika, kuna mtu...
Back
Top Bottom