Search results

  1. driller

    NYUMBA INAUZWA: mawasiliano 0624-078174 (Mr. Martin)

    Nyumba ina vyumba vitatu,master rooms 2,single room1,public toilet ,siting room na dining room.ukubwa ni 20x30miters. Nyumba ipo kange mtaa wa mkurumuzi Tanga. Bei million45 maongezi yapo.
  2. driller

    hivi kwanini...!!?

    I used facebook for few days and i got addicted to it.. But i'm studying since i was four........ Why the hell I am not getting addicted to it..!!?
  3. driller

    expect the unexpected.... Teh teh teh..

    When somebody says " expect the unexpected”.... Slap him/her on the face and say... " you didn't expect that... Did you....?”
  4. driller

    daaaah.... Kwa wadada.. Usiombe hii ikukute...

    boy; marry me..? Girl; do you have a house boy; no girl; do you have a bmw car..? Boy; no girl; how much is your sallary..? Boy; no sallary but.....! Girl; no but. You have nothing how can i marry u..!? Leave please ...now..!! Boy;(talking to himself) i have one villa...
  5. driller

    kweli hili toto saa mbovu...!!!

    Mother; why did you get such a low mark in that test jonny; because of absence mother; you mean you were absent on the day of the test? Jonny; no, But the kid who sits next to me was absent
  6. driller

    hahahahaha

    can a woman make you a millionaire yes...!! Only if you are a bilionaire
  7. driller

    is it....!!?

    How to convert a university student into a criminal easy..... Just burn some pages of their assignments an hour before submission
  8. driller

    banks

    I don't understand banks why do they attach chains to their pens..!!? If i'm trusting u with my money... U should trust me with your pens...
  9. driller

    hujawahi kudanganya kati ya haya....!!?

    1. I have Read and agreed to the terms of service 2. Status= offline 3. Yes I'm over 18yrs.
  10. driller

    uongo nooma...!!!

    mademu wawili walikua wanabishana bwenini... Ghafla mwalimu akaingia na kuwauliza..." mnabishana nini..!!?” wakamwambia tumeokota sh.10000.. Na tunataka aichukue mtu ambae atakua keshawahi kudanganya uongo mkubwa sana kati yetu.... Mwalimu kwa dharau akawaangalia na kuwaambia "shame on you...
  11. driller

    suicide

    if people commit suicide coz of problems......... Then when will my maths book commit suicide coz it has tons of prolems...!!!!
  12. driller

    msaada jamani kwenye ovi sync btn my nokia500 and my computer..

    jamani naomba mnisaidie.. Ninatumia nokia500-ORIGINAL. Nimejaribu kudownload ovi-suite kwenye laptop ili niweze kumenage sms.. Na image na mambo mengine kwenye simu yangu.. Ila kila niki-connect simu kwenye computer ovi hairespond... Ina reply kua no device found.. Connect nokia device...
  13. driller

    uongo bila kumbukumbu=kuumbuka

    jamaa mmoja alikua muongo(sound).. Siku moja akawa anawapigia masela wenzake story za jinsi alivyokua muwindaji wa swala.. Sasa story ikaenda mpaka wakafika sehemu jamaa amemlaza swala chini anataka kumchinja..... (msimuliaji akaitwa kdogo kwao)..alivyorudi akawauliza washkaji.. Ivi tumeishia...
  14. driller

    driving schools

    jamani hivi hawa watu wanaojuifunza keenye hizi driving schools za hapa jijini..!! Wanajifunza ufundi au wanajifunza udereva..!!? Maana yani gari za driving school za hapa town nyingi zimechoka kwelikweli... Kiasi kwamba mhitimu akitoka hapo akikutana na gari za kisasa inabidi aanze kujifunza...
  15. driller

    i have a problem of forgetting

    sipho; dr i have a problem of forgetting dr; when did the problem start? sipho; which problem..? mimi nilikua na swali hivi watu kama hawa ni nani anawatibu na wanatibiwa kwa patient history ipi..?
  16. driller

    naomba msaada wakuu on my nokia500

    Nimenunua simu nokia 500 na siku nilipo ingiza line yangu ya tigo nilikua nina chat na jamaa yangu mmoja hivi kwenye simu nyingine.. nikachomoa line kwenye hiyo simu na nikaiingiza kwenye nokia 500 Baada ya kuiingiza tu nikakuta kuna flashing sms sign at the top of the phone screen.. na baada...
  17. driller

    kwa wanaume tu..! ikikutokea hii utafanyaje..!?

    hii ni habari ya kweli kabisa na ninaamini kua wengine mmeshawahi kuisikia hapa na imetokea hapa town dereva mmoja wa taxi alikuwa kijiweni... mara akaja jamaa mmoja akiwa na mwanamke amefunga ninja(bai bui ifungayo mpaka machoni)..! na jamaa akaenda kumnon'goneza dereva wa taxi kua anaenda...
  18. driller

    wadau naomba mnisaidie kwenye hili... it is serious

    jamani kwanza ninawatakia valentine njema wale woote ambao mapenzi yao hayana matatizo wala migogoro.. pili ninaomba msaada kwa hili jamani.. i hav a girl who used to love me so much.. na siku hizi ameanza kua na vitabia ambavyo kwa kweli sivielewi elewi.. hivi jamani utajuaje kua mpenzi wako wa...
  19. driller

    hivi kati ya mlimani city na quality centre wapi pako juu zaidi..?

    wana jamii nilikuwepo pale quality juzi..! jamani mimi ninaona pako juu sana..! yani theater ni balaa mazee..! na misosi sasa yani ni balaa wazee..! wewe unadhani kati ya pale na mlimani wapi pako juu..!? kwa entertainment na shopping na relaxation...?
  20. driller

    Ninaumwa ulimi

    jamani ninaumwa ulimi kwa mbele yani unauma kama kunakidonda hivi...! na nikiupitisha kwenye meno yani ni balaa...! nisaidieni jamani nifanyejeee..>!?
Back
Top Bottom