Habari Wana Jamiiforums!
Mimi ni mjasiriamali kwenye sector ya utalii, nipo Arusha. NATAFUTA mtu aliye serious kwaajili ya kufanya nae biashara, najua kuna watu Wana pesa au connection lakini hawajui wanapeleka au wanawekeza wapi,
Bado kuna fursa kubwa katika sector ya utalii hapa...
Ujamaa haukuwa mbaya,ujamaa huenda ukawa mfumo bora zaidi kuwasaidia wengi kuinuka na kuondokana na umasikini, ujamaa unatoa fursa sawa kwa kila mtu kuishi "kama malaika" yaani gap la tajiri na maskini linazibika kirahisi, capitalism kama ilivyo kenya inatoa fursa kwa wachache kumiliki mhimili...
Habari wakuu,
Kumekuwako na ongezeko la wanawake katika swala zima la kukaa baa na kunywa pombe kwa makundi makundi,
Mimi huwa namchukulia tofauti kabisa mwanamke anayekunywa pombe, ataweza kuwa na familia bora kweli,hatakuwa mzigo tu nyumbani, pia ni ishara ya uhuni flani,watoto nao wanaweza...
Babu zetu wamepigania uhuru na wakafanikiwa kumtoa mzungu katika bara letu pedwa la Africa, wakajitahidi kutusogeza kimaendeleo kulingana na uwezo wao uliotukuka, watu kama kina Kwame Nkrumah, Nelson Mandela, Julius Nyerere, Patrice Lumumba na wengine wengi, lakini ningepata nafasi ya kukutana...
Unaona nini?
Wakuu, nimeianza maada hii kwa kukuuliza swali
Kwamba unaona nini kutokana na hali ilivyo hapa Tanzania?
je akili yako inaona ugumu wa maisha tu? Je akili yako inaona matatizo tu? Je akili yako inaona maonevu tu? Au akili yako inaona pesa hakuna tu? Au labda hali ni ngumu tu...
Wakuu habari,
Kuna ukweli uliojificha kwa wengi nataka kuusema hapa
Kama kichwa cha somo hapo juu kinavyosema,
Kuna matabaka matatu ya watu katika hii dunia
1.matajiri 2.daraja la Kati 3.Maskini
Nadhani madaraja hayo yanaeleweka Kabisa moja kwa moja.
Daraja la matajiri lina watu wachache...
Wakuu habari
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye malengo lukuki kuhusu kilimo na ufugaji hapa nchini,
Nimeamua kujitosa kwenye kilimo na ufugaji hapa Arusha!
Ninachokitafuta kutoka kwenu ni kupata connection za wadau mbalimbali wa kilimo hapa arusha, hii inajumuisha mashirika, makampuni, watu...
SHALOM!
Worth sharing;
Iwapo dunia hii isipogongwa na sayari ya nubiru na kuifutilia mbali, au sayari hii ya dunia isipo patwa na janga lolote la kuifanya isiwepo, kuna vitu VITATU TU ambavyo havitakuja kubadilika, watu,miti,majengo,bahari vyote vyaweza kubadilika,lakini hivi vitu VITATU...
Umuofia kwenyu!
Worth sharing;
Iwapo dunia hii isipogongwa na sayari ya nubiru na kuifutilia mbali, au sayari hii ya dunia isipo patwa na janga lolote la kuifanya isiwepo, kuna vitu VITATU TU ambavyo havitakuja kubadilika, watu,miti,majengo,bahari vyote vyaweza kubadilika,lakini hivi vitu...
Habarini ndugu!
Nina miezi miwili nimeachana na matumizi ya smartphone,al-mahsusi hizi app za whatsapp na instagram.
Nataka niwashirikishe watanzania wenzangu uzoefu wangu huu wa miezi miwili, nadhani inaweza kuwasaidia baadhi ya watu!
Pamoja na faida chache au nyingi za mitandao...
kupitia link hapo chini unaweza kuiwezesha hii project kusonga mbele
REDUCING A COMMON MANGO SPOILAGE IN WESTERN TANZANIA
REDUCING A COMMON MANGO SPOILAGE IN WESTERN TANZANIA
Habari zenu mabibi na mabwana,
Nina mchumba wangu mrembo sana, tulikutana mwaka uliopita, sasa kutokana na familia yake hakupata nafasi ya kusoma aliishia darasa la saba kutokana na kutengana kwa wazazi wake, alimaliza muda mrefu akaendelea kutafuta maisha tu, mimi nina miaka 27 najua...
When did it start?
Genesis2:18-24
18 And the Lord God said,It is not good that the man should be alone; I will make a helpmeet for him....
24 Therefore shall a man leave his father and his mother, and cleave unto his wife:and they shall be one flesh.
The journey to marriage started in the...
Haya ni maoni yangu, nasisitiza haya ni maoni yangu
Mbunge wa Kigoma Mjini ndg Zitto Kabwe kupitia chama cha ACT-Wazalendo, ndiye anastahili kuvaa viatu vya JPM 2025.
Analysis zote nilizofanya zinaonyesha huyu kijana makini anafaa kabisa kuipeleka nchi kuwa taifa la uchumi wa kati duniani...
Kumekuwa na utitiri wa vyama mbalimbali vya kikanda na kikabila katika maeneo mbalimbali katika nchi yetu, vyuoni kuna vyama vya wasukuma, wahehe, wachagga nk, hata mitaani kuna viumoja flani vya makabila au watu kutoka mkoa flani au wilaya flani..vyama hivi vinaanzishwa kwa lengo kuu kusaidiana...
Hello all,
Natoa maada kwa lengo mahsusi la kuwapa mbinu ya kuepuka baadhi ya mambo au tabia ambazo wengi zinawatumikisha unwillingly na kuwasaidia kupata mafanikio kwenye mambo mbalimbali.
Kuna hiki kitu, unapokuwa unailisha akili yako umbea kila siku kwenye mitandao ya kijamii na sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.