Search results

  1. ras jeff kapita

    Rais Samia usikubali wananchi wa Jangwani wadhulumike

    Hawa ni wananchi wapo bonde la Jangwani karibu na club ya Yanga. Wengine wana hati wengine wana ofa. Wote hao maeneo yao yanatwaliwa kwa ajili ya mradi wa uendelezaji wa Bonde hilo. Tafadhali hawa watu wenye umiliki wa ardhi kihalali/ kisheria wasichanganywe na squatters/ wavamizi na...
  2. ras jeff kapita

    Poleni sana wanasimba. Mpira mdogo kelele nyingi

    Poleni sana kwa dhahama mliyokutana nayo jana. Tuseme tu ukweli Simba hawana timu ya kumfunga Ahly. Hapa bongo huwa mna struggle sana kuzifunga timu pinzani. Ukweli ni kwamba mna bidii lkn hamna wachezaji wenye viwango Baada ya kusema hayo sasa angalieni kaka zenu kimpira watakachomfanya...
  3. ras jeff kapita

    Airtel mnafeli siku hizi

    Watu tunataka tufanye transactions pesa zipo airtel money. Hampatikani hewani. Mnapoteza sifa yenu nzuri mliyokuwa nayo zamani
  4. ras jeff kapita

    TAMISEMI mbona mnachelewa kufidia watu wa bonde la mto Msimbazi?

    Kwenu tamisemi. Serekali imeshaweka nia na kutenga fungu mahususi kwa ajili ya fidia ya wakaazi wa bonde la mto msimbazi. Ni wazi kwamba wakaazi wengi wasiokuwa na hati (squatters) wamefidiwa flat rate shs mil 4. Pamoja na fidia ya majengo. Pale kwenye bonde kuna hati nane(8)ambazo serekali...
  5. ras jeff kapita

    NMB mna shida gani!? Watu tunataka kutoa pesa hampatikani online sio kwa mawakala sio kwenye ATM

    Wasalaam Leo ni siku muhimu watu wanataka kutoa fedha waka-enjoy na familia zao. Jambo la kusikitisha hampatikani online kwenye kutoa hela kwa mawakala na ATM Binafsi nilikuwa nawaamini sana sasa nimeanza kuwa na mashaka. Mnapotea hewani siku ya muhimu kama hii What a pity?
  6. ras jeff kapita

    Watu hufa

    Wasalaam, Leo baada ya wiki tatu kupita. Nimempigia simu jamaa yangu tuliyeshibana. Naambiwa alishakufa na amezikwa. Hakika nimeamini watu hufa.
  7. ras jeff kapita

    Mambo ya kuzingatia maishani

    Muabudu Mungu ipasavyo, tafuta hela za kutosha, fanya mazoezi, jali familia yako, Mpende mkeo, kula bata, saidia wengine, jiepushe na ugonvi jielimishe kadiri uwezavyo jaribu kuitafuta talanta yako (kipaji) epuka jinai. Mengine mnaweza kuongezea.
  8. ras jeff kapita

    Wakati Azam anatawanywa leo Simba wajiandae tarehe 8

    Wakuu habari zenu hapana shaka Simba aka Jobo wamekalia kiti cha uongozi wa ligi kwa muda lkn nimeona wana kelele mingi koko hawa....!! Leo jioni tunachukua pointi tatu muhimu kutoka kwa Azam na kurudi kwenye makazi yetu. Meanwhile nawakumbusha Simba wajiandae kisaikolojia tar 8/05/2021...
Back
Top Bottom