Leo mchana nimejongea kwa mama ntilie kupata wali maharage baada ya kumaliza kula nikampa buku, cha kushangaza akaniambia bado jero wali maharage ni buku jero.
Hii imenishangaza sana kwani nimezoea wali maharage ni buku buku. Wazee nimepigwa au ndo bei halisi kwa sasa wali maharage shilingi...
Msaada wadau,
Nina depo ya bia na soda kubwa tu sasa kuna vijana nimewaajiri wa nne naona vitambi vinawatoka, mashavu dodo na mmoja kanunuaa gari aina ya crown week iliyopita mwingine alinunua gari aina ya volts december wao ni kula bata tu ni ndugu so nimewaweka shop tusaidiane maisha.
Wakati...
Siku hizi kuna hili neno ki benten ambalo kijana mdogo aki date na mwanamke mwenye umri mkubwa anaitwa ki benten .. sijajua origin yake n wapi na kwann watu waite ki benten kwann isiwe ki bennine au ki bentwo.. limetokea wapi hili neno...? Nini asili yake.. maana haliko kwenye kamusi yoyote...
Hii mada inawahusu wale waliooa au wanaishi na wachumba zao au wanaishi na mpenzi wake au anaishi na mwanamke tu.
Je ni halali kwa mwanamke kubana tendo la ndoa bila sababu na baridi hii kali na mvua inanyesha kali sana? Mwanamke kubana kutoa penzi?
Kwa kweli swala hili linakera sana sana...
Napenda Kujua historia ya Kanisa La Orthodox.
Je kuna mahusiano kati ya Orthodox church na Roman Catholic church?
Nimejaribu ku Google lakini sijaelewa, mwenye maelezo mazuri na ya kueleweka anisaidie tafadhali. Karibuni.
By
Prof
Nakumbuka Ulivyoanza Mapambano haya ya madawa ulisema upo tayar kwa lolote. Kwa kuwa zako Jasiri wamekuzushia una cheti feki ili mada ya madawa isiongelewe kbsaaa.. Mkuu wangu wa mkoa wewe ndiye mkuu Bora kbsa Tanzania hii . Mkoa wetu unaongoza kwa mambo mengi mazur.
Hili swala la vyeti...
Proffesor anasema... utakuta mtu anaoa fine vizur .. ndoa ya kilokole ..fine vizur ... jamaa anakupangia u mchangie tsh 300,000 ... dahhh ndoa ya kilokole ambayo hakuna gambe ( pombe ) .. mchango tsh 300,000... me jamaa imebidi ni mchane live ntatoa tsh 10,000 because inatosha kabisa kununua...
Proffesor anasema. .... Unamwalika msichana ( ndo na mfukuzia ) anakuja na wenzake wa tatu jumla wanakuwa wa nne sio kabisa wadau. . Jana nimemwalika msichana mmoja ambaye na mfukuzia for dinner. . Duhhhhh si wakaja wa 4 dahhh kidogo niabike isingekuwa hiz M-pesa nngeaibika hiyo jana.. hii tabia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.