Search results

  1. M

    Mwanga wa ajabu wa Jua leo Dar es Salaam saa 12:10 jioni, rangi ipo Kama nyekundu au Chungwa

    Sijui ule mwanga ulikuwa na ishara ya nini kwa anaejua maana lilikuwa jua kali lilowaka wa muda wa dakika 10 mpk 15. Nina imani wakazi wengi wa Dar es Salaam wameuona ====== TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWONEKANO WA ANGA KUWA NA RANGI NYEKUNDU AU CHUNGWA KATIKA BAADHI YA MAENEO NCHINI. Dar es...
  2. M

    Leo ni kumbukumbu ya Edward Moringe Sokoine

    Miaka ya nyuma tuliona maandalizi ya hii siku kuanzia kwenye vyombo vya habari na hata viongozi wetu walikuwa wakilitaja hili jina kuanzia April mosi hadi siku kama ya leo kilele. Lakiini sasa hivi ni kimya kabisa hii ina maana anaanza kusahaulika au?
  3. M

    Mbatia jimbo la Vunjo ni la kwakoo

    Takibani wiki mbili sasa zinakwisha toka kampeni zianze. James Mbatia yeye bado hajaenda eneo la wapiga kura hii yote ni kwa sababu anajua JIMBO LA VUNJO ni la kwake kabisa no one. Hongera sana James Mbatia Mungu akupe nguvu.
Back
Top Bottom