Search results

  1. Ally maganga

    Nini tiba ya tumbo kujaa gesi na mwili kufa ganzi(kauka)

    Habari wakuu! Niingie moja kwa moja kwenye mada, Mama yangu alikuwa na malaria alikunywa dawa mara baada ya kumaliza dose alipata tatizo la tumbo kujaa gesi na mwili kufa ganzi. Pia anasumbuliwa na kidonda ambacho alikipata mara baada ya kukanyaga mwiba wakati yupo shambani. Tulipoenda...
  2. Ally maganga

    Nauza nyumba kwa bei yakutupa

    Nauza nyumba kwa bei ya tsh 14m tu. Nyumba ina vyumba vitatu pamoja na sitting room. Pia ina umeme na ipo karibu na huduma ya maji. Ina eneo kubwa. Nyumba ipo Morogoro mjini kata ya Kihonda 1km kutoka Dodoma road. Kwa maelezo zaidi nipigie 0712977047.
  3. Ally maganga

    Mpira sio mchezo wa kiungwana. Nimeacha rasmi kushabikia timu yoyote kutoka Ulaya!

    Hii usemi wa fair play kwenye upande wa soccer naona si mahala pake. Ebu tazama wachezaji wanavunjana tena kwa makusudi kabisa na huku refa akitoa mijicho yake tu. Hivi kuna umuhimu gani wa kuendelea kutumia maneno Fair play wakati wachezaji hawapo fair? Nimeumia sana leo mpaka nimeuchukia...
  4. Ally maganga

    Timu yenye washambuliaji wakali zaidi WC 2018

    Di María - 22 goals Higuaín - 27 goals Messi - 47 goals Icardi - 29 goals Dybala - 26 goals Agüero - 31 goals Safu ya ushambuliaji Argentina imefunga jumla ya magoli 182. Tukutane kwa Putin.
  5. Ally maganga

    Darubini Kali 2025.

    Mpaka mwaka 2025 Kuna mambo mawili yatafanya watanzania wengi wawe na ugonjwa wa MOYO. 1. Kubet 2.Utawala wa jpm Ova!
  6. Ally maganga

    Nawaza tu

    Najiuliza sana na kutafakari, Kwanini serikali ya Tanzania isitumie watu maarufu duniani(sio Tanzania) kama wachezaji mpira mfano Cr7, messi&neymar au wanamuziki na waigizaji maarufu zaidi duniani, kwaajiri ya kutangaza vivutio vyetu vya Utalii. Zile 1.5t naamini zinatosha kabisa...
  7. Ally maganga

    Huu sio utapeli mpya?

    *BRANCH WAKALA INVESTMENT PLATFORM * *HABARI MEMBERS * *BRANCH WAKALA INVESTMENT PLATFORM* *ni mfumo wa online system ya mikopo na uwekezaji wa kisasa katika mfumo wakielectronic yaani* *LOANS AND ELECTRONICAL INVESTMENTŽ* *KWA KUTUMIA COUPONS ZITAKAZOWEZESHA KILA MEMBERS...
  8. Ally maganga

    This is Simba

    1.Timu pekee Tanzania iliyoingia fainal michuano ya kimataifa CAF 2.Timu pekee kwa Tanzania iliyomtoa bingwa mtetezi 2003 kwenye michuano ya kimataifa 3.Timu pekee kwa Tanzania iliyotumia zaidi ya 1.5b kwa usajiri Tanzania. Hizo 600m kalipeni kodi za jengo kisha mje kujifananisha na Mnyama.
  9. Ally maganga

    Wenye king'amuzi cha azam tujiandae kisaikolojia?

    Zimebaki siku chache kuanza kombe la dunia 2018, startimes, dstv na econet wameshaanza matangazo ya kurusha mechi zote world cup 2018. Je azamtv watarusha au tujiandae kwenda bar?
  10. Ally maganga

    Hatimaye Messi10 kapata mrithi wake

    Nikisema katoka sayari nyingine huyo ni messi, Nikisema katoka venus mtasema labda Cr7 Sasa nasema hivi huyu kiumbe katoka Galaxy nyingine! Si mwingine bali ni Mo salah Madevu.
  11. Ally maganga

    Kwanini movie za kikorea zimekamata Tanzania?

    Hili swala huwa linanisumbua sana, hivi bongo movie walikosea wapi mpaka hawa wakorea wameteka soko. Kuanzia Nyumbani, kwenye usafiri, vibanda umiza kote ni Korean drama. Popote kwenye Tv na deki lazima pembeni utakuta movie ya kikorea. Wabongo mpo wapi?
  12. Ally maganga

    Kwanini washabiki wa madrid wanajiamini sana kwenye UEFA?

    nimezungumza na washabiki mbali mbali wa madrid, nilichogundua hawa jamaa wanaiamini timu yao kupita kiasi hasa kwenye UEFA licha ya performance mbovu ya msimu huu. Je kitu gani wanajivunia zaidi? catalunya baby.
  13. Ally maganga

    Nina friends 5k fb, nipeni mawazo.

    Ninafriends 5k fb nifanye je hili niweze kupata pesa kupitia idadi hiyo ya friends fb?
  14. Ally maganga

    Natafuta shule ya gharama nafuu kwa CBG

    habari wakubwa. Mwenye contacts ya shule ya private a-level ya ada nafuu ambayo inachukua CBG naomba ani PM.
  15. Ally maganga

    Simu yangu inatatizo, nahitaji msaada

    Habari wakuu. Nina simu yangu Sumsang pocket S5300 inatatizo Kwenye upande wa kupigiwa simu, mtu akinipigia Namba yangu inatumika muda wote, nikiweka line yangu Kwenye simu nyingine inapatikana Kama kawaida. Hivyo mwenye idea ya hili tatizo naomba anisaidie
  16. Ally maganga

    Msaada wa haraka Wanajf; Nahitaji mkopo wa haraka

    Habari wana jf. Wanajf, ninashida ya tsh 100,000 ya haraka sana Kama Kuna member anayeweza kunikopesha kwa riba mimi nipo tayari. Namba yangu 0689631083. Mungu awabariki.
  17. Ally maganga

    Msaada wa haraka wanajf

    Habari wana jf. Wanajf, ninashida ya tsh 100,000 ya haraka sana Kama Kuna member anayeweza kunikopesha kwa riba mimi nipo tayari. Namba yangu 0689631083. Mungu awabariki.
  18. Ally maganga

    Haji Manara hatari

    SIMBA SPORTS CLUB S.L.P 5555 MSIMBAZI/DSM 25 FEB 2017 T F F S.L.P 0001 KARUME/DSM Ndugu, YAH; KUCHEZESHA WACHEZAJI 9 somo tajwa hapo juu lahusika, kutokana na kasi mpya ya timu ya Simba ya...
  19. Ally maganga

    Msichana chotara,mwarabu,muhindi,mzungu , msomi au mwenye fedha anahitajika hapa

    Rejea kichwa cha habar, kama we ni msichana mwenye umri 16-19 na mwenye sifa mojawapo kati hizo na hupo tayari kuitwa mke tafadhar naomba uni PM
  20. Ally maganga

    Natafuta shule ya kufundisha Chemistry na Biology

    Pia nafundisha masomo ya ziada (twisheni) kwa masomo ya Chemistry & Biology A-level na O-Level. Napatikana Morogoro mjini maeneo ya Nanenane. Kwa maelezo zaidi piga namba 0719605111
Back
Top Bottom