Za leo wandugu wapendwa,
Napenda kuuliza swali tafadhali, hivi mwanamme anaishi Norway,ameamua kuoa mwanamke toka mfano kwetu Tanzania na kumpeleka huko wakaanze maisha pamoja. Then huyo bibie akaanza kusoma hiyo lugha ili aweze kupata kazi...lugha imegoma akamueleza mumewe hali halisi ili...
wako kua unampenda? Je ni kitu gani watu kama hawa hupoteza au hupata faida wanapolificha penzi kwa mweza wake? Maana nimejaribu kulichambua hili swala sipati jibu...nasikia tuu kwa watu na marafiki wa karibu na Mr. kuwa Duh, mmeo anakupenda sana. Sasa inakuwaje kwangu hanionyeshi! naombeni...
Za leo wandugu, nimefurahi sana kupata hii site baada yakudokezwa mamboz yake na lafiki yangu kipenzi. Natumaini tutashirikiana kwa kila jambo.
Pengine kwa kuanza ningependa kufahamu what are vampires, ni kweli hivi vitu vina exist hapa kwetu bongo au vipo nchi za wenzetu zaidi. Je kwa lugha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.