Search results

  1. N

    Naomba ushauri_matibabu kwa mtu aliyevunjika mguu

    Wana Jf, habari. Mzazi wangu amevunjika mguu mfupa uitwao femur. Mfupa huu umevunija kabisa ila haujatokeza nje wala haujaleta kidonda, anatakiwa kufanyiwa upasuaji. Tatizo ana tatizo la sukari iko kati ya 5.0 – 9.5 Pressure nayo haiko vizuri . ipo kati ya 157/73 – 140/59. Napata wasiwasi...
  2. N

    Nini tofauti ya harrier ta-acu15w na acu15w?

    Wana JF Humu ndani naamini kuna wataalam wa magari. naomba msaada wa kujua tofauti kati ya model mbili za Toyota Harrier kuna model code TA-ACU15W na ACU15W. Nini tofauti zake na ipi ni bora zaidi? shukrani
  3. N

    Kuanguka kwa soko la hisa Marekani

    Wanajamii kuna habari hii ambayo imetawala kwenye vyombo vingi vya habari kuhusiana na kuanguka kwa soko la hisa la marekani.Nimejaribu kufuatilia lakini sijaweza elewa vizuri.Naomba kwa wanaofahamu wanieleweshe.je hali kama hii inaweza pia kutokea katika soko letu la hisa hapa Tanzania.Asante
Back
Top Bottom