KERO Threads

A
Anonymous
Daladala tajwa hapo juu siku si nyingi zimelalamikiwa. Ukipanda daladala kutoka Makumbusho kwenda Chama au MagengenI wanakulazimisha ulipe 1100 maugomvi mengi yanatokea kila siku. Mfano...
1 Reactions
0 Replies
53 Views
Serikali iingilie manyanyaso haya Wilaya ya Uyui. 1. Wilaya ambayo watumishi wake hawajalipwa pesa zao za likizo. Ikumbukwe likizo hiyo watumishi hizo hiyo walioomba tangu mwezi wa 12. Imekuwa...
3 Reactions
12 Replies
342 Views
A
Anonymous
Halmashauri ya Wilaya Moshi kuna changamoto ya watumishi kucheleweshwa kupewa barua za kuthibitishwa kazini bila sababu yoyote ile angali utaratibu ni mtumishi akitimiza mwaka mmoja anapaswa...
0 Reactions
0 Replies
42 Views
A
Anonymous
Habari, mimi dukuduku langu ni kuhusu sekretarieti ya ajira, haifanyi fair kabisa. Mwanzo nafasi za kazi za halmashauri zilikuwa zinatangazwa na halmashauri wenyewe na kusimamiwa na wenyewe...
0 Reactions
0 Replies
39 Views
Tunafahamu juhudi za serikali katika kuhakikisha watoto wote wanaotoka katika familia duni wanapata elimu na ndio maana serikali ilisema marufuku michango ya aina yoyote katika shule za serikali...
8 Reactions
95 Replies
2K Views
A
Anonymous
Ili hali makazi ya wananchi yanazidi kupotea? Kaya nyingi kwa sasa zimekosa makazi. Kabla ya uchimbaji mchanga hakukuwa na madhara yoyote.
0 Reactions
0 Replies
37 Views
Kwakweli kumekua na kero sana kwa manesi walipo hospitalini hapa, wamekuwa wakitoa maneno ya kashfa na kejeli hasa kwa manesi wa clinic, Ni maneno mabaya na ya kejeli sana yakiambatana na...
0 Reactions
0 Replies
64 Views
A
Anonymous
Hii kero inahusu mzani wa magari makubwa ambao upo mtaa wa Changani- Temeke. Sina hakika kama hizi barabara za mitaani zina uwezo wa kuhimili uzito wa haya magari makubwa. Barabara ya mtaa wa...
0 Reactions
0 Replies
56 Views
A
Anonymous
Mimi ni Mdau wa Elimu ninayeishi Goba Mpakani, Mtaa wa Tegeta A, Kata ya Goba, kuna changamoto ambayo imejitokeza ni miezi kadhaa sasa inaendelea kuwa kikwazo kwa Watoto wa Shule kupata haki yao...
0 Reactions
7 Replies
482 Views
A
Anonymous
Wasafiri wanaoingia au kuelekea mikoani wamekuwa wakiibiwa pesa zao. Unatozwa nauli ya luxury ila unapandishwa ordinary bus je hili limekaaje LATRA au huu wizi umebarikiwa?
0 Reactions
0 Replies
40 Views
A
Anonymous
Harudishiwi kiwango cha fedha iliobaki. Naomba manispaa ya Tabora ilitizame hili maana Kuna Dalila za kuihujumu serikali.
0 Reactions
0 Replies
78 Views
Huenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana. Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE"...
52 Reactions
309 Replies
23K Views
Kuna gate moja la barabarani wanakaa tra liko pale Makuyuni, jamani pale kuna tatizo. Iwapo utapita na lori lako pale umebeba mafuta ya kula umetoka zako Dar jamaa wanasumbua utadhani unavuka...
0 Reactions
1 Replies
131 Views
Nawasalimu kwa Jina la Muungano wa Tanzania! Samahani, naomba kuwasilisha MAONI kutokana na kuwepo kwa changamoto ya kimtandao kuanzia tarehe 11.05.2024 hadi hivi sasa. Hali ambayo inazua...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
A
Anonymous
Chuo cha SUA Campus ya Mazimbu kinatiririsha maji taka ya chooni kwenye mifereji ya barabara ni zaidi ya Mwaka sasa. Ukipita ukielekea maeneo ya Lukobe ni harufu tupu, je angekuwa mtu binafsi...
1 Reactions
7 Replies
203 Views
A
Anonymous (d47a)
Tarehe 10/05/2024 Polisi Tanzania walitoa tangazao la kazi kwa vijana wa kitanzania waliohitimu Shule ya Upili Mwaka 2018 na kuendelea. Deadline ya lile tangazo ilikuwa Mei 16, hivyo kwa sababu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
A
Anonymous
Mimi ni Mkazi wa Mbutu Kigamboni kwa namba ya Wanambutu. Changamoto ya Mbutu ni Barabara ya kutoka Dege kwenda Mkwajuni mpaka kwenye Machimbo ya Vifusi. Kwanza naomba niwafahamishe yafuatayo...
1 Reactions
2 Replies
158 Views
A
Anonymous
Hapa Mbezi Luis, Karibu na soko ambalo linapakana na Shule ya msingi Mbezi Kuna bar na gest ipo karibu na soko kwa nyuma ya soko, bar hii inaitwa Lubumbashi na maeneo yake ya jirani kunafanyika...
6 Reactions
46 Replies
3K Views
A
Anonymous
Habari za muda huu Wanajamvi, Hii Kampuni ya TTCL ni sikio la kufa na wala halisikii dawa tena, haifanyi vizuri kwenye mawasiliano ya simu kawaida wala kwenye Internet. Mimi nipo Dar es Salaam na...
7 Reactions
49 Replies
1K Views
A
Anonymous
Nina wiki moja nimekuja Moshi, nimetembela baadhi ya sehemu za Wilaya ya Moshi Vijijini, Shabaha, Kata ya Mabogoni. Wananchi wa Shabaha wanateseka sana na barabara iwe kipindi cha mvua au...
0 Reactions
1 Replies
110 Views
Back
Top Bottom