Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hivi siku hizi zile chaguzi za TLS zipo kweli? Kulikoni? Manake kipindi cha Rais Magufuli kuna watu walijitoa fahamu na kujaribu kutuaminisha kwamba chaguzi za hicho chama na Rais wake walikuwa...
5 Reactions
24 Replies
132 Views
#AMKA_NA_HII Tambua kuwa ndege wengi tunao waona huenda baadhi yao sio ndege halisi. Angalia pichani haya ni mambo ya Artificial Intelligence. Ndege yupo kazini.Ama kweli dunia inakwenda kasi sana.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari za jumapili! Ni wivu katika jamii au ni jambo gani? Ña hii tabia ipo kwenye jamii maskini hasa huku Afrika, Ni kwànini mdada akiwa mzuri wale ambao hawakujaliwa uzuri humpa maneno mabaya...
3 Reactions
8 Replies
71 Views
je! inawezekana vp mtu kuendelea kutumia wtsp na kupost stutus mf hta mpka sa 8usiku while lst seen yake inanionyesha ni sa2? hta ukimtxt labda sa 3usiku utakutna na jbu asubuhi na atakuambia...
2 Reactions
6 Replies
64 Views
With 99.03% of votes counted, ANC is at 40.3%. It has lost parliamental majority. ANC wanaona aibu kuwafuata DA (wazungu) kuwaomba kufanya coalition. Ni kama wanarudisha kwa mkoloni kuwa mambo...
6 Reactions
22 Replies
271 Views
Januari mwaka 2001 mapema kabisa kabla ya George Bush kuapishwa na kuwa rais wa Marekani, makamu wa rais, Bwana Dick Cheney alimtumia ujumbe waziri wa ulinzi, William S. Cohen ambaye aliwekwa hapo...
9 Reactions
15 Replies
620 Views
Wakuu habari za Jumapili, Kama kichwa cha thread kinavyosema, ile hali umemsimamisha msichana unamuomba namba halafu anakunyima, daa inaleta stress sana ila basi tu.
12 Reactions
146 Replies
3K Views
Tusijidanganye. CCM hawana nia ya kuona Tanzania inapata Katiba mpya inayotoa fursa bora katika utawala wa sheria nchini na ushindani sawa wa vyama vya siasa. Hilo halitakuja kutokea hata siku...
1 Reactions
8 Replies
114 Views
Mwandishi, "Tumesikia kuna kikao kimefanyika kuhusu kutaka kujiuzulu kuna ukweli? "Nani kasema nataka kujiuzulu? Mimi bado niko Simba na sifikirii kuhusu hilo. Mbona timu ikifanya vizuri...
5 Reactions
15 Replies
486 Views
Wakuu nimeamini sisi wakulima wadogo wadogo hatutokaa tupate utajiri kupitia kilimo kamwe, Nimeshangaa bei za mahindi kwa huku Handeni mpaka sahivi eti gunia ni 35000 ukizingatia mahindi ya mwaka...
3 Reactions
12 Replies
350 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,387
Posts
49,773,612
Back
Top Bottom