Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kila nikiwaza kujenga hofu yangu inaingia pale ninapofikiria mafundi watakavyonibia cement, nondo na material mengine. Je, ni kweli wapo mafundi ambao wanaweza kuwa waaminifu katika ujenzi.
0 Reactions
9 Replies
68 Views
Wana wa Jamiiforums, Nawasalimu. Sina uhakika kama hili linatokea kwangu tu au ni kwa kila mtu zaidi ya mara tatu au nne imetokea kwamba nikipiga tu simu kwa mtu tukajadili habari ya hela ambayo...
4 Reactions
10 Replies
226 Views
Rafiki yangu mpendwa, Nimekuwa napenda utajiri tangu nikiwa mtoto mdogo. Nakumbuka niliwahi kumwambia mama yangu kwamba kwenye maisha yangu lazima nitakuwa tajiri. Alicheka na kuniambia ni utoto...
27 Reactions
74 Replies
1K Views
Mbalizi, Tunduma Road Tanzania https://m.youtube.com/watch?v=IIW7fpPFuj8 Kufuatia msiba mzito wa aliyekuwa mwanachama kinda kindai wa CHADEMA aliyegusa maisha ya wakaazi wa Tunduma Road Mbalizi...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari mwanaJF, Naomba ushauri rafiki yangu huwa na tabia ya kutongoza kila binti niliye naye kwenye mahusiano. Ni rafiki ninayefanya naye kazi kituo kimoja pia tulikutana kazi japo pia...
6 Reactions
41 Replies
2K Views
Kwakweli nimechanganyikiwa, wanajamvini nisaidieni Mimi masikini, nafanya ujenzi lakini nahitaji vitu Bora na vya kipekee lakini uwezo wangu mdogo. Sasa kama ilivyo sisi watanzania na dunia nzima...
0 Reactions
2 Replies
8 Views
Naisaka No ya mama mkwe Leo hadi niipate,na niongee nae!!!! Japo nimpe hiii!!!! Mbona hanitambulishi tu jamani Leo najitambulisha mwenyewe!!!!!! Nimechoka jamani.....
1 Reactions
6 Replies
31 Views
Anaandika Mhe. Hamisi Kigwangwala ✍️ “Kama ni kudaiana tu, tena bila mikataba, basi na sisi wana @SimbaSCTanzania tunamdai mwekezaji pesa nyingi sana!” “Tulimtaka aweke bilioni 20 kwenye account...
3 Reactions
9 Replies
22 Views
Kwa maslahi mapana ya taifa na kwa kushirikiana na taasisi moja ya dini tumeazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali ya CCM, kupata mzizi iwapo kama kweli...
7 Reactions
313 Replies
5K Views
Habari jf Katka kupambana na maisha kuna malengo tunajiwekea Shida ni changamoto ya kuyafikia. Mwanzo mwa mwaka 2016 nilijiwekea target kufikisha milion 3. Kwangu ilikuwa hela nyingi coz nilikua...
39 Reactions
297 Replies
50K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,562
Posts
49,834,044
Back
Top Bottom