Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nilipohoji kuhusu uvaaji wa mchungaji Tony Kapola kuna watu hususan wanawake walinivaa kwa ukali kwamba nina wivu niwaachie mchungaji wao, kwamba uvaaji wake ni wa kawaida, kwamba uvaaji wa kisasa...
14 Reactions
149 Replies
4K Views
Katika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi. Javad anasema ajali...
10 Reactions
31 Replies
1K Views
Kwanza nitoe pole Kwa taifa la Iran Kwa kumpoteza Kiongozi wao, Pili, inafaa Ulinzi uimarishwe Kwa Ayatollah Ali ili kumlinda na mashambulizi ya maadui ambao dunia inawajua Ila ndo vile
0 Reactions
8 Replies
291 Views
Good evening jf members, I've decided to use English to reduce the number of insults from certain annoyed members. As a Young Africans S.C supporter and a passionate Tanzanian football fan, I...
1 Reactions
9 Replies
112 Views
Mheshimiwa waziri wa maji matatizo ya maji ya miaka kumi iliyopita yamerudi katika jiji la dar es salaam pamoja na kwamba hakuna taarifa ya kupungua kwa maji.Hali ni mbaya zaidi kwa dawasa kimara...
2 Reactions
5 Replies
76 Views
Habari Ni jambo la kusikitiaha kuwa watumiaji wengi wa Noah za Namanga Arusha Wanasafirisha bidhaa za Magendo Na wenye bidhaa hizo hawavuki border Kwa kihalali. Nina video ya Mzee mmoja hapa...
0 Reactions
2 Replies
34 Views
Shunie Extrovert Jimena FRANC THE GREAT The 13 Mnazareth Daudi Mchambuzi Dinazarde Carleen Wangari Maathai Mshana Jr
25 Reactions
6K Replies
129K Views
Nakaribisha wajuvi wa mambo kuhusu Iran. Huyu General Qassem Soleimani alikuwa na nini cha ziada ? Mbona wa Iran wengi huonesha kumkubali na kusikitishwa zaidi na kifo chake mpaka leo licha ya...
3 Reactions
8 Replies
112 Views
Kwa wale wapenzi wa game za mpira kwenye pc karibuni tujumuikeni hapa hasa kwa wale wa pc na hata console pia sio mbaya. Lengo ni kupeana mambo kama yafuatayo-: Latest patch (update...
20 Reactions
1K Replies
134K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia...
2 Reactions
9 Replies
124 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,473
Posts
49,663,620
Back
Top Bottom