Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika hapo juu. Nauliza hivi zile chopa mbili za Ulinzi zilizokuwa kwenye msafara na chopa ya Rais wa Iran iliyoanguka Ziko wapi? Zilifika salama...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
518K Replies
30M Views
Wakuu nimeptia mtandaoni na kuona hili simu Sasa sijui ipoje kwenye ubora na bei apa bongo, naomba kupewa abc kidogo
1 Reactions
4 Replies
60 Views
Naomba leo anayejua anieleweshe hapa, kwa nia nzuri kabisa. Yesu alisema tuombe kwa kupitia Jina lake, inakuwaje watu wanaomba kupitia maria? naangalia tumaini tv hapa padre akasema tuombe kwa...
15 Reactions
233 Replies
3K Views
Uchunguzi wa kijasusi uliofanywa na BBC umegundua yafuatayo. 1) Mteja mtarajiwa hutumiwa meseji akiambiwa kwamba amechaguliwa kupata mkopo wa kiasi flani, hivyo afuate link ya ‘playstore’ ili...
12 Reactions
49 Replies
3K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika Tafadhalini sana mnisaidie utaratibu sahihi wa kujiunga na dini ya mayahudi yaani Judaism Nimevutiwa sana na dini hiyo siyo tu kwa uwezo...
3 Reactions
4 Replies
21 Views
Kwanza nitoe pole Kwa taifa la Iran Kwa kumpoteza Kiongozi wao, Pili, inafaa Ulinzi uimarishwe Kwa Ayatollah Ali ili kumlinda na mashambulizi ya maadui ambao dunia inawajua Ila ndo vile
1 Reactions
17 Replies
401 Views
Msimamo wa kula kwa urefu wa kamba imepata maana mpya na mbaya. Serikali ikiwa na vyombo vyote vya ulinzi na usalama katika kila mkoa, itaibiwaje kibwege hivi? Yes, serikali inaibiwa kibwege na...
16 Reactions
64 Replies
3K Views
Mmmmh.... Nimewaza. Unamwambia mpenzi wako akunyonye mashine sababu unapenda. Kumbe siku hiyo kaamka vibaya network inakuja inakata, inakuja inakata inasoma EDGE kidogo inapotea. We unachukulia...
13 Reactions
31 Replies
698 Views
Ni uzi mwingine tena kuhusu Application za kukopesha watu ukiwa na dharura. Sijakopa, ila hii weekend nimetumiwa zaidi ya meseji 8 tofauti tofauti ya watu wanne nnaowajua wamekopa na hawajalipa...
3 Reactions
11 Replies
89 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,479
Posts
49,663,731
Back
Top Bottom