Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Usiku wa vitasa wa leo utakuwa na mapambano nane, huku main card ikiwa ni Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo akizichapa na bondia Kutoka Ghana, Patrick Allotey ambalo ni pambano la kupambania...
2 Reactions
21 Replies
512 Views
Wakuu kwema, nataka kwenda huko kimatembezi zaidi napenda sana nchi za watu wa macho madogo kama Japan, Korea, Vietnam, China ila kwa sasa naangalia sana Korea Kusini. Naomba muongozo kwa...
9 Reactions
63 Replies
10K Views
Unahitaji huduma ya kuhamishwa kisasa, kufungiwa vitu kwa ustadi kama vyombo, nguo, na hata vifaa vya umeme kama dish au antenna la dstv au lolote ulionalo...karibu sana...tunapatikana kinyerezi...
9 Reactions
271 Replies
12K Views
Habari wa jf Kuna mtu yoyote mwenye idea au kufahamu kuhusu biashara ya mifupa ya samaki, ngozi na mabaki mengine, maana kuna mahali naweza kupata zaidi ya tani 5 kwa siku. Naomba mwenye uzoefu...
1 Reactions
2 Replies
158 Views
Yani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi. Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini...
9 Reactions
36 Replies
460 Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
105 Reactions
221K Replies
17M Views
Lilikuwa ni suala la muda tu na hatimaye unaweza kusema tumerudi nyuma au tumerudi kwenye maisha yetu ya kawaida au tuliyozoea. Daladala za kutokea Mbezi mpaka Mnazi Mmoja kupitia Manzese...
22 Reactions
96 Replies
3K Views
Takriban kwa wiki tatu sasa jeshi la Israel limekuwa likipigana vita vikali vya mtaa kwa mtaa maeneo ya kaskazini ya Gaza. Mwishowe jeshi hilo lilitanga hapo juzi kuwa limedhibiti kambi yote ya...
1 Reactions
37 Replies
700 Views
Ni kipi hasa kinaendelea huko kwa kina Oga, Tulishazoea kwa muda mrefu Naira moja ni shilingi 5.x ila kwa sasa imeshuka mpaka 1.79
3 Reactions
19 Replies
682 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,063
Posts
49,764,277
Back
Top Bottom