Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
517K Replies
30M Views
JE UNA TATIZO LA MIMBA KUHARIBIKA 🗣️Hii Ni maalum kwa wanawake wote ambao wamekuwa wakishika ujauzito na huwa zinaharibika kabla ya muda wake. ✍️Sasa Leo tumewaletea kaujanja ambako hakatumii...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Shalom, Huu sijui niite ni dharau, maringo, ubaharia au ujinga wa kitoto. Ubaharia wa kidwanzi ndio huu kuna siku nikichukua namba ya demu mmoja hapa jijini Dodoma, nikambeep Fair kabisa. Kesho...
11 Reactions
20 Replies
520 Views
E bana wanajamvi inakuwaje. Bila kupoteza muda leo ndo siku ya mwisho za mechi zote kuchezwa kwenye ligi kuu ya mpira Uingereza. Lakini mechi ambazo zinasubiriwa kwa hamu kuangaliwa na...
3 Reactions
6 Replies
7 Views
400 hundred years of slavery ya mtu mweusi katika ardhi ya marekani na visiwa vya carribean. Miaka mia kadhaa ya utumwa na ukandamizaji wa kiovu katika bara la Afrika. Naelewa katika process ya...
2 Reactions
15 Replies
918 Views
Naomba leo anayejua anieleweshe hapa, kwa nia nzuri kabisa. Yesu alisema tuombe kwa kupitia Jina lake, inakuwaje watu wanaomba kupitia maria? naangalia tumaini tv hapa padre akasema tuombe kwa...
14 Reactions
183 Replies
2K Views
Simba Sports mwaka huu wamekuja tofauti. Jezi zao zinazinduliwa kileleni kwenye Mlima Kilimanjaro ijumaa wiki hii. Sasa jezi hizo zimewekwa kwenye kibegi na amepewa Ahmed Ally kusafiri nacho kwa...
9 Reactions
30 Replies
2K Views
Kichwa cha thread kinajieleza. Ninawatakieni nyote Heri ya Sikukuu ya Pentekoste. Ukaja Upepo kutoka Juu Mbinguni na Wote wakajazwa na Roho Mtakafu, haleluya! Tundu Antipas Lissu anaonekana...
3 Reactions
15 Replies
200 Views
Bodi la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wameamua kupeleka makombe mawili yanayofanana katika viwanja viwili vya Emirates ambapo utapigwa mchezo wa Arsenal Vs Everton. Kombe la pili litapelekwa kule...
4 Reactions
10 Replies
124 Views
Binafsi ni mdau wa afya na ni mnufaika wa bima ya taifa NHIF , Tanzania kwa ujumla tuna bima za afya nyingi sana kama :- -NHIF -ASSEMBLE -STRATEGIES -JUBILEE -Cigna -BRITAM -BUPA -UAP -HEALIX -WCF...
9 Reactions
147 Replies
5K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,052
Posts
49,649,953
Back
Top Bottom