Salamu kamsalimie waziri wa Afya.
Nikiwa kwenye sintofahamu kwanini mambo Yana badirika kimya kimya namna hii.
Inakuwaje kadi ya clinic iliyoandikwa haiuzwi na Sasa inauzwa Kwa Tsh 10,000/=...
Kuna kasumba imejengeka ambayo inaweka classes za watu kulingana na Mkoa wanakotokea.
Mathalani Mikoa ya Business Class (VVIP) ,Hawa Hujiona superclass na kwamba wanastahili attention
Dar
Arusha...
Naomba leo anayejua anieleweshe hapa, kwa nia nzuri kabisa. Yesu alisema tuombe kwa kupitia Jina lake, inakuwaje watu wanaomba kupitia maria? naangalia tumaini tv hapa padre akasema tuombe kwa...
Sikuwa nafahamu kwamba huyu Tundu Lissu ana Ushawishi Mkubwa namna hii sio tu leo ambapo tunamuona kwenye Jukwaa la Siasa bali kazi ya kutetea Nchi, Taifa na Wanachi wake ameianza Zamani ktk Ujana...
Mzuka wanajamvi!
Usiku wa kuamkia leo kwenye uzi wa mwamba P didy ikimuonesha akimpiga "gelfrend' wake wa zamani kwenye korido za hoteli ya intercontinental akiwa amevaa taulo. Tulimpinga sana GT...
Maisha ya chuo yana vurugu nyingi sana za kingono. Hosteli watu wanapigana "exile" kila siku. Waliopanga mitaani wanapika na kupakua pamoja kana kwamba wameoana. Wadada wengine wanapigwa "mtungo"...
WAH HABARI ZA UZIMA NAAMINI MMEAMKA SALAMA.WALE WALIO NA MAGONJWA ALLAH AKAWAPE WEPESI NA WALE MLIO HOSPT MUNGU AKAWAPE WEPESIS PIA MTOKE HUKOO SIO KUZURI NA AKUZOELEKI
REJEA KICHWA CHA HABARI...
Ni ushauri tu kwa sababu kwa Sera za Chadema na hata sera za madhehebu fulani ya Wagalatia Zanzibar ni Jimbo
Muungano wa Kweli ni Ule wa Serikali 1 tukishindwa tuitafakari sera ya Chadema...
Jeshi la IDF linaendelea na Kazi ya kutafuta Mateka kila kona ya mji wa Rafah.. mwendo ni kata funua hadi kieleweke.
Masikitiko sana kupata Mateka wakiwa hai.. South Africa na Uturuki wanaona...
Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.