Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wadada kuna ile time mkaka umemuelewa na unatamani awe boy wako ila ye hana habari na wewe mnafanyaje ili mkaka ajue kuwa unampenda?
6 Reactions
105 Replies
1K Views
Mwaka huu kweli tuanzeni kutubu na kumwamini Mungu yanaoendelea mitandaoni na duniani ni wazi kiwango cha watu kuchanganyikiwa na kufanya mambo ya ajabu kimeongezeka. Israeli anaua vile watoto wa...
2 Reactions
7 Replies
86 Views
Kwa takriban mwezi mmoja sasa tasnia ya Muziki nchini Marekani imekuwa kwenye hatua za Back to Back kutoka kwa Mastaa wa Hip Hop, Drake na Kendrick Lamar ambao wamekuwa wakichapana Diss Track kila...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hbr wa kuu kwakuw kila miaka2/3 nakuw napgwa na kitu kzto accidentally sasa naona kama nitaend kufeli kutimiza malengo kadhaaa Mara zote huwa na msisitiz mwenzangu kutumia njianza calendar lakn...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina...
19 Reactions
121 Replies
2K Views
CHECHEFU MAHAKAMANI TENA Safari hii ni kampuni ya NAS HAULIERS iliyokopa bilioni 50 ikakataa kulipa na kukimbilia mahakamani ikiishitaki benki iliyofanikisha mkopo - ikitetewa na wakili yule...
2 Reactions
1 Replies
11 Views
Gharama za Mpira zimepanda sana, Wote tumepigwa na taharuki baada ya kusikia fedha wanazohitaji Wachezaji wetu kipindi cha usajili. . Kama ni kweli Wachezaji wanataka fedha hizo basi hakuna klabu...
9 Reactions
37 Replies
2K Views
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavyoendelea, nashawishika kusema waliotaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana. Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege...
20 Reactions
104 Replies
3K Views
Faida ya hizi Radiocalls : 1.Hakuna haja kuwekeza kwenye Towers /Minara, Antennas,Base stations, Repeaters. Hivyo Initial investments ni Zero. 2.Hakuna limitation ya umbali /Coverage sababu...
0 Reactions
2 Replies
20 Views

FORUM STATS

Threads
1,851,528
Posts
49,577,756
Members
668,028
Latest member
otienolucas
Back
Top Bottom