hii video inahitaji maelezo mwanana kabisa toka kwa Mnyika, kila kitu kinawezekana kama unaiangalia bila ya mapenzi ya chama chochote, kapanga kweli, kapachikwa maneno, kanunuliwa aseme hivyo, yote ya hayo kwahaya anayosema humo kwa kweli haikubaliki ata hiwe azungumzwae si Kibanda, maana ata...
Hongera Dr kwa kufuatilia hiyo kitu, hakuna chochote wanachosafirisha zaidi ya unga, biashara ya wenyewe hiyo ndiyo maana inalindwa, kuwa muangalifu isiwe nawe wanakufuatilia
Mungu atuepushie mbali mkuu, lakini kuna baadhi ya ajali huwa tunazitafuta wenyewe, ukiangalia mabasi mengi yanayoanguka anguka ama kuwaka moto ovyo ni matokeo ya watu malori kugeuza mabasi, eti mtu tractor anarefusha chassis na anaunda basi na wiring wanafanyia mitaani kuepusha gharama, sasa...
kila nikiangalia kilichopo hapa na vitabu vya dini tofauti vinavyoandika kuhusu paradise, kwakweli najikuta nikijiuliza kwamba paradise inayozungumziwa siyo hii nchi yetu kweli? tuna kila kila kitu, sijui ni kitu gani ambacho hatuna.
kuna watu humu wanaleta mambo ya vyama, lakini mkae mkijua mwisho wa siku sisi sote ni watanzania, maskini na matajiri wote ni watanzania. ndugu Zitto usikatishwe tamaa na baadhi ya maneno ya kejeli ya baadhi yetu, binafsi sina jinsi tu, lakini nina imani kubwa sana na wewe!
nafikiri tungeanzia...
okey, hivyo vitu vya ndani vimenichosha, hata kama sina, kusema ukweli siyo vizuri kabisa, yani angeniita mimi nimrembeshee ndani kwake nyumba ingependeza zaidi, mtanda na huo msofa kwakweli ni BIG no.
magufuli aliamrisha barabara ichongwe, iweje umchongee barabara tapeli, kuna chunguzi za maana ambazo serikali inapaswa ifanye siyo kumaliza pesa zetu za kodi kwa kufany auchunguzi kama dawa ya babu ni kweli ama vipi, hivi kuna watu walifikiri kabisa ni kweli inaponya ukimwi
kama wewe unajuwa si utueleze tu alimueleza nini Tido,? lowassa ndiyo ni jembe, lakini kwenye uwaziri mkuu tu na siyo urais, njemba ikiwa na maamuzi ya mwisho, kuna watanzania itabidi wakaombe ukimbizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.