Hapo umekosea.
Utawala wa awamu ya 6 ni utawala wa kufuata na kutii sheria.
Mabasi yote yanayo pakia na kushusha abiria nje ya stendi ya magufuli lazima yazuiwe haraka sana.
LATRA wanao wajibu wa kulisimamia agizo hilo.
Mhe. Makonda angekuwa waziri angewasaidia wananchi wengi, tatizo yupo Mkoa wa Arusha tu, je sisi tulio nje ya mkoa huo tunapataje msaada wake?
Tunamuomba Mhe. RAIS aangalie namna yoyote ile Makonda awe waziri asiye na wizara maalum ili aweze kushughulikia kero za wananchi wote.
Washukuriwe sana waasisi wa Taifa letu, kipee BABA wa Taifa JK Nyerere.
Hakika aliweka misingi imara ndani ya Chama.
Maono ya Nyerere yametimia. CCM itatawala milele na milelele.
Wiki tatu zilizo pita Kiongozi wa Mwenge kitaifa alitoa maagizo kuwa; Mabasi yote yanayo pakia na kushusha abiria nje ya Stendi ya Magufuli watoke huko na warudi ndani ya stendi.
Kumekuwa na utitiri wa vituo vya mabasi ya abiria maeneo mbalimbali ya jiji la Dsm haswa maeneo ya Shekilango hadi...
Mpaka sasa ugonjwa wa ukimwa ndio ugonjwa hatari zaidi duniani kuliko magonjwa mengine.
Jambo la msingi kwa wenye VVU ni kuepuka ngono na kuwalinda wengine.
Lisu aichana Chadema.
Asema kuna baadhi ya viongozi wenzake wamehongwa kama walivyo hongwa kina Kaburu, Arfi, Mashinji na Slaa.
Amedai kuna viongozi wenzake wamemuonya asilopoke mambo hadharani.
Amedai wapo viongozi wenzake wanajaribu kumziba mdomo.adai tayari wamekula rushwa.
Tatizo la Tundu anajazwa misifa ya uongo eti yeye ni jasiri!!....kisha anavimba kichwa na kujiona yeye ni jasiri nchi nzima .!! na kuanza kupwayuka ovyo ili ajionyeshe kuwa yeye ni jasiri!!!!
hawa wanao mjaza misafa ya kijinga ndio walio mpoza hadi leo akawa mlemavu.
Tena nashangaa hadi leo hii tarehe 11/5/2024 kwanini hajakamatwa huyo muhuni.
Nashauri mamlaka husika zimkamate haraka na kumfikisha kwenye vyombo vya sheria ili iwe fundisho kwa wahuni wengine.
Kamwe tusiwe na muhali kwa watu wa aina hii ambao wanalenga kuharibu jamii kwa maksudi.
Na huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.