Kumbe Ukraine hawatalipia hizo silaha kama Pro-putin wengi ambavyo wamekuwa wakisema/kudanganya?!
Kumbe hiyo misaada ni mzigo na hasara tupu kwa Marekani!
Njia sahihi ni watu wote kufuata utaratibu wa kimahakama au usuluhishi wa wanasheria kupata haki zao, ni jambo baya sana kuvigeuza vyombo vya dola kuwa wagawa haki, hiyo ni mifumo ya Kangoroo courts.
Vyombo vya dola sio wagawa haki, mahakama pekee ndio kinapaswa kuwa chombo cha ugwaji haki na maamuzi ya nani ana haki. Kinachopaswa kufanyika ni mfumo wa Mahakama uboreshwe watu wasikimbile vyombo vya dola kupata haki kwa sababu ni precedent mbaya sana.
Elezea hao One 2 One Focus Limited na huyo Mwamwega wamafanya utapeli gani au makosa yao ni yapi. Malalamiko mengine ya wabongo dhidi ya matajiri na biashara zao ni kwa sababu ya kukosa uelewa na hulks ya ujamaa wa Nyerere ya kubeba zaidi wasio matajiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.